18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+
12 Utajiri+ na utukufu+ hutokana na wewe, nawe unatawala+ kila kitu; na mkononi mwako mna nguvu+ na uwezo,+ na mkononi mwako mna uwezo wa kufanya kuwa na ukuu+ na kuwapa wote nguvu.+
9 Ndipo Amazia+ akamwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini zifanyweje zile talanta mia moja ambazo nimewapa majeshi ya Israeli?”+ Mtu wa Mungu wa kweli akajibu, akasema: “Yehova ana uwezo wa kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+