- 
	                        
            
            1 Samweli 17:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
28 Na Eliabu+ ndugu yake mkubwa zaidi akasikia alipokuwa akisema na watu wale, nayo hasira ya Eliabu ikawaka juu ya Daudi,+ hivi kwamba akasema: “Kwa nini umeshuka kuja huku? Nawe uliacha mkononi mwa nani wale kondoo wachache nyikani?+ Mimi najua vema kimbelembele chako na ubaya wa moyo wako,+ kwa sababu umeshuka kwa kusudi la kuona pigano.”+
 
 -