Zaburi 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama nisingalikuwa na imani katika kuuona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai+—! Zaburi 142:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+ Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+ Isaya 38:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimesema: “Sitamwona Yah, ndiyo, Yah, katika nchi ya walio hai.+Sitawaona wanadamu tena—pamoja na wakaaji wa nchi ya kukoma. Isaya 53:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu ya kizuizi na hukumu yeye aliondolewa mbali;+ na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?+ Kwa maana aliondolewa+ katika nchi ya walio hai.+ Alipata pigo kwa sababu ya ukosaji wa watu wangu.+
5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
11 Nimesema: “Sitamwona Yah, ndiyo, Yah, katika nchi ya walio hai.+Sitawaona wanadamu tena—pamoja na wakaaji wa nchi ya kukoma.
8 Kwa sababu ya kizuizi na hukumu yeye aliondolewa mbali;+ na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?+ Kwa maana aliondolewa+ katika nchi ya walio hai.+ Alipata pigo kwa sababu ya ukosaji wa watu wangu.+