Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama nisingalikuwa na imani katika kuuona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai+—!

  • Zaburi 142:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Nilikuitia wewe, Ee Yehova, kwa ajili ya msaada.+

      Nikasema: “Wewe ni kimbilio langu,+

      Fungu+ langu katika nchi ya walio hai.”+

  • Mhubiri 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+

  • Isaya 38:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nimesema: “Sitamwona Yah, ndiyo, Yah, katika nchi ya walio hai.+

      Sitawaona wanadamu tena—pamoja na wakaaji wa nchi ya kukoma.

  • Isaya 53:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu ya kizuizi na hukumu yeye aliondolewa mbali;+ na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?+ Kwa maana aliondolewa+ katika nchi ya walio hai.+ Alipata pigo kwa sababu ya ukosaji wa watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki