Kutoka 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa hapendezi machoni pa bwana wake hivi kwamba hamfanyi kuwa suria+ bali anamfanya akombolewe, hatakuwa na haki ya kumuuza kwa watu wa kigeni katika kumtendea kwake kwa hila. Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+ Methali 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+ Sefania 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Manabii wake walikuwa na dharau, walikuwa watu wenye hila.+ Makuhani wake wamekitia unajisi kilicho kitakatifu; waliitendea sheria jeuri.+
8 Ikiwa hapendezi machoni pa bwana wake hivi kwamba hamfanyi kuwa suria+ bali anamfanya akombolewe, hatakuwa na haki ya kumuuza kwa watu wa kigeni katika kumtendea kwake kwa hila.
6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+
4 Manabii wake walikuwa na dharau, walikuwa watu wenye hila.+ Makuhani wake wamekitia unajisi kilicho kitakatifu; waliitendea sheria jeuri.+