Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikiwa hapendezi machoni pa bwana wake hivi kwamba hamfanyi kuwa suria+ bali anamfanya akombolewe, hatakuwa na haki ya kumuuza kwa watu wa kigeni katika kumtendea kwake kwa hila.

  • Methali 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+

  • Methali 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+

  • Sefania 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Manabii wake walikuwa na dharau, walikuwa watu wenye hila.+ Makuhani wake wamekitia unajisi kilicho kitakatifu; waliitendea sheria jeuri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki