6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+
15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mkirudi na kupumzika mtaokolewa. Nguvu zenu zitakuwa tu katika kukaa bila usumbufu na katika kutegemea.”+ Lakini hamkutaka.+