Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+

  • Zaburi 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+

      Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?+

      Mngojee Mungu,+

      Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu.+

  • Zaburi 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+

      Wokovu wangu unatoka kwake.+

  • Isaya 30:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli,+ amesema hivi: “Mkirudi na kupumzika mtaokolewa. Nguvu zenu zitakuwa tu katika kukaa bila usumbufu na katika kutegemea.”+ Lakini hamkutaka.+

  • Maombolezo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki