Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Na sasa usimame,+ Ee Yehova Mungu, uingie katika pumziko lako,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako.+ Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavikwe wokovu, nao washikamanifu wako washangilie katika wema.+

  • Zaburi 132:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Makuhani wako na wavikwe uadilifu,+

      Nao washikamanifu wako na wapige vigelegele kwa shangwe.+

  • Zaburi 149:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+

      Anawarembesha wapole kwa wokovu.+

  • Isaya 61:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki