41 Na sasa usimame,+ Ee Yehova Mungu, uingie katika pumziko lako,+ wewe pamoja na Sanduku la nguvu zako.+ Makuhani wako, Ee Yehova Mungu, na wavikwe wokovu, nao washikamanifu wako washangilie katika wema.+
10 Hakika nitafurahi katika Yehova.+ Nafsi yangu itakuwa na shangwe katika Mungu wangu.+ Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu;+ amenivika koti lisilo na mikono la uadilifu,+ kama bwana-arusi ambaye, kama kuhani, anavaa vazi la kichwani,+ na kama bibi-arusi anayejipamba kwa vitu vya mapambo yake.+