Kumbukumbu la Torati 32:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+ 2 Samweli 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 95:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+
4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+Kwa maana njia zake zote ni haki.+Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+
3 Mungu wa Israeli alisema,Mwamba wa Israeli aliniambia,+‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+