Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • 2 Samweli 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wa Israeli alisema,

      Mwamba wa Israeli aliniambia,+

      ‘Wakati yeye anayetawala juu ya wanadamu ni mwadilifu,+

      Akitawala kwa kumwogopa Mungu,+

  • Zaburi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+

      Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+

      Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+

  • Zaburi 95:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 95 Njooni tumpigie Yehova vigelegele kwa shangwe!+

      Na tumpigie Mwamba wetu wa wokovu vigelegele vya ushindi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki