Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yule anayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu, naye atatenda kikamilifu mapendezi yangu yote’;+ neno langu kuhusu Yerusalemu, ‘Atajengwa upya,’ na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

  • Isaya 65:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na hakika wao watajenga nyumba na kukaa ndani yake;+ na hakika wao watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+

  • Yeremia 31:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Na itakuwa kwamba kama nilivyokuwa macho kuwaelekea wao+ ili kung’oa na kubomoa na kuangusha na kuharibu na kudhuru,+ ndivyo nitakavyokuwa macho kuwaelekea ili kujenga na kupanda,”+ asema Yehova.

  • Danieli 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nawe ujue na ufahamu kwamba tangu kutolewa kwa lile neno+ la kurudisha na kujenga upya Yerusalemu+ mpaka Masihi+ aliye Kiongozi,+ kutakuwa na majuma 7, pia majuma 62.+ Atarudi na kujengwa hakika, pamoja na kiwanja cha watu wote na handaki, lakini katika dhiki ya nyakati.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki