28 “Na itakuwa kwamba kama nilivyokuwa macho kuwaelekea wao+ ili kung’oa na kubomoa na kuangusha na kuharibu na kudhuru,+ ndivyo nitakavyokuwa macho kuwaelekea ili kujenga na kupanda,”+ asema Yehova.
25 Nawe ujue na ufahamu kwamba tangu kutolewa kwa lile neno+ la kurudisha na kujenga upya Yerusalemu+ mpaka Masihi+ aliye Kiongozi,+ kutakuwa na majuma 7, pia majuma 62.+ Atarudi na kujengwa hakika, pamoja na kiwanja cha watu wote na handaki, lakini katika dhiki ya nyakati.