1 Samweli 24:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako. 1 Samweli 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+ Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Methali 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hekima iko mbele ya uso wa mtu mwenye uelewaji,+ lakini macho ya mjinga yako kwenye mwisho wa dunia.+
13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.
10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+
24 Hekima iko mbele ya uso wa mtu mwenye uelewaji,+ lakini macho ya mjinga yako kwenye mwisho wa dunia.+