Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile inavyosema methali ya watu wa kale, ‘Katika waovu uovu utatoka,’+ lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.

  • 1 Samweli 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+

  • Zaburi 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kaa kimya mbele za Yehova+

      Na kumngojea kwa kutamani.+

      Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+

      Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+

  • Methali 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hekima iko mbele ya uso wa mtu mwenye uelewaji,+ lakini macho ya mjinga yako kwenye mwisho wa dunia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki