Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+

      “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na sasa jiandikieni wenyewe wimbo huu+ na kuwafundisha wana wa Israeli.+ Uwekeni katika vinywa vyao ili wimbo huu upate kuwa shahidi wangu juu ya wana wa Israeli.+

  • Waamuzi 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na katika siku hiyo Debora+ pamoja na Baraka+ mwana wa Abinoamu+ wakaanza kuimba,+ wakisema:

  • 2 Samweli 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+

  • Zaburi 18:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi. Wa mtumishi wa Yehova, wa Daudi, aliyemwambia Yehova maneno ya wimbo huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka mkononi mwa adui zake wote na kutoka mkononi mwa Sauli.+ Naye akasema:

  • Isaya 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki