Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 98:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Mpigieni Yehova kelele za ushindi, enyi nyote watu wa dunia.+

      Changamkeni na kupiga vigelegele kwa shangwe na kupiga muziki.+

  • Zaburi 126:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko,+

      Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+

      Wakati huo walianza kusema kati ya mataifa:+

      “Yehova amefanya jambo kuu katika yale ambayo amewafanyia.”+

  • Methali 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+

  • Isaya 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+

  • Yeremia 51:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 “Na mbingu na dunia na vyote vilivyomo hakika vitapiga vigelegele vya shangwe juu ya Babiloni,+ kwa maana waporaji watakuja kwake kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.

  • Ufunuo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Furahini juu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na ninyi mitume+ na ninyi manabii, kwa sababu Mungu amemtoza adhabu ya hukumu kwa ajili yenu!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki