Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Hili ndilo lililokuwa neno la Yehova kwa Yeremia nabii kuwahusu Wafilisti+ kabla ya Farao kupiga Gaza.+

  • Ezekieli 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaunyoosha mkono wangu juu ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuiangamiza pwani ya bahari inayobaki.+

  • Yoeli 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Pia, mna nini nami, enyi Tiro na Sidoni+ pia nanyi maeneo ya Ufilisti?+ Je, hivyo ndivyo mnavyonitendea kwa kunipa thawabu? Na ikiwa mnanitendea hivyo, matendo yenu nitayalipa haraka, naam, upesi, juu ya vichwa vyenu.+

  • Amosi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu walilipeleka uhamishoni kundi zima la wahamishwa+ ili kuwatia mkononi mwa Edomu.+

  • Sefania 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa;+ na Ashkeloni litakuwa mahame yenye ukiwa.+ Nalo Ashdodi,+ watalifukuza katikati ya mchana;+ Ekroni nalo litang’olewa.+

  • Zekaria 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ashkeloni litaona na kuogopa; Gaza nalo pia litakuwa na maumivu makali sana; Ekroni+ pia, kwa sababu tumaini lake analotazamia+ litaona aibu. Na mfalme ataangamizwa kutoka Gaza, nalo Ashkeloni halitakaliwa na watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki