Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 36:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Chukua kitabu cha kukunjwa,+ uandike ndani yake maneno+ yote ambayo nimekuambia juu ya Israeli na juu ya Yuda+ na juu ya mataifa yote,+ tangu siku niliyosema nawe, tangu siku za Yosia, mpaka leo hii.+

  • Yeremia 51:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Na Yeremia akaandika katika kitabu+ kimoja msiba wote ambao ungekuja juu ya Babiloni, haya maneno yote yaliyoandikwa juu ya Babiloni.

  • Danieli 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza+ mfalme wa Babiloni, Danieli aliona ndoto na maono ya kichwa chake kitandani mwake.+ Ndipo akaandika ndoto hiyo.+ Akasimulia masimulizi kamili ya mambo hayo.

  • Habakuki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova naye akanijibu na kusema: “Andika maono hayo, na kuyaweka waziwazi kwenye mabamba,+ ili anayeyasoma kwa sauti aweze kufanya hivyo kwa wepesi.+

  • Waroma 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki