Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama, manabii wanawaambia, ‘Hamtaona upanga, wala hakutakuwa na njaa kwenu, bali nitawapa amani ya kweli mahali hapa.’”+

  • Yeremia 23:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+

  • Yeremia 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi msiyasikilize maneno ya manabii wanayowaambia, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni,’+ kwa sababu wanawatolea unabii wa uwongo.+

  • Yeremia 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babiloni.+

  • Maombolezo 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Manabii wako mwenyewe wameona kwa ajili yako maono ya ubatili na vitu visivyotosheleza,+

      Nao hawakufunua kosa lako ili kuirudisha hali yako ya mateka,+

      Bali waliendelea kuona kwa ajili yako maono ya matangazo yasiyo na faida na yanayopotosha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki