Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tisa+ wa kuwa kwake mfalme, katika mwezi wa kumi,+ siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akaja,+ ndiyo, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu, akaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kulizingira pande zote.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.

  • Yeremia 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘“Kwa maana nimekaza uso wangu juu ya jiji hili kwa ajili ya msiba wala si kwa ajili ya mema,”+ asema Yehova. “Litatiwa mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ na hakika ataliteketeza kwa moto.”+

  • Yeremia 32:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 kwa sababu Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemzuilia,+ akisema:

      “Kwa nini unatoa unabii,+ ukisema, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni, na hakika yeye ataliteka;+

  • Yeremia 52:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa tisa wa kuwa kwake mfalme,+ katika mwezi wa kumi, katika siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadreza mfalme wa Babiloni akaja, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu,+ nao wakaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kumzingira pande zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki