Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo hasira yangu itakapowaka kwelikweli juu yao katika siku hiyo,+ nami hakika nitawaacha+ na kuuficha uso wangu mbali nao,+ nao watakuwa kitu cha kuteketezwa; na misiba mingi na taabu zitakuja juu yao,+ nao watalazimika kusema siku hiyo, ‘Je, misiba hii haikuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko katikati yetu?’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nao walivunjwa vipande-vipande, taifa kupigana na taifa+ na jiji kupigana na jiji, kwa sababu Mungu aliendelea kuwatia katika machafuko kwa kila namna ya taabu.+

  • Isaya 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vitawi vyake vitakapokuwa vimekauka, wanawake wanaoingia watavivunja, na kuviwasha.+ Kwa maana wao ni kundi la watu lisilo na hamu ya uelewaji.+ Ndiyo sababu Mtengenezaji wake hatalionyesha rehema, na Mfanyizaji wake hatalionyesha kibali.+

  • Isaya 63:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+

  • Zekaria 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana kabla ya siku hizo hapakuwa na mshahara wa wanadamu;+ wala hapakuwa na mshahara wa wanyama wa kufugwa; na kwa yule anayetoka na yule anayeingia hapakuwa na amani kwa sababu ya adui,+ kwa maana nilizidi kuwatupa wanadamu wote mmoja juu ya mwingine.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki