11 Atalichunga kundi lake mwenyewe kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wana-kondoo kwa mkono wake;+ naye atawabeba katika kifua chake.+ Wale wanaonyonya atawaongoza kwa uangalifu.+
3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+
7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.