Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Kwa hiyo sema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Pia nitawakusanya ninyi kutoka kwa vikundi vya watu na kuwakusanya ninyi kutoka katika nchi ambazo katikati yake mmetawanywa, nami nitawapa ninyi udongo wa Israeli.+

  • Ezekieli 20:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “ ‘Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ nitakapowaleta kwenye udongo wa Israeli,+ katika nchi ambayo niliuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa mababu zenu.

  • Ezekieli 36:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nami nitawatoa ninyi kutoka kwa mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi zote na kuwaingiza katika nchi yenu.+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki