Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo.

  • Isaya 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na sasa, Ee Yehova Mungu wetu,+ utuokoe kutoka mkononi mwake,+ ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe, Ee Yehova, ndiye Mungu peke yako.”+

  • Ezekieli 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Nami hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilikuwa likitiwa unajisi katikati ya mataifa, ambalo ninyi mlilitia unajisi katikati yao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘wakati nitakapotakaswa katikati yenu mbele ya macho yao.+

  • Ezekieli 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nawe utalazimika kupanda na kuja juu ya watu wangu Israeli, kama mawingu ili kuifunika nchi.+ Itatukia katika siku za mwisho, nami hakika nitakuleta wewe juu ya nchi yangu,+ kusudi mataifa yanijue mimi wakati ninapojitakasa mwenyewe kupitia kwako mbele ya macho yao, Ee Gogu.” ’+

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu kuchomoza kwa jua mpaka kutua kwake jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,+ na kila mahali moshi wa dhabihu+ utafukizwa, toleo litafanywa kwa jina langu, pia zawadi safi;+ kwa kuwa jina langu litakuwa kuu kati ya mataifa,”+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki