- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 7:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+ 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Ezekieli 1:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        28 Kulikuwa na kitu kinachoonekana kama upinde+ ambao hutokea katika wingu kubwa katika siku ya mvua. Hivyo ndivyo ulivyokuwa mwangaza uliozunguka pande zote. Kulikuwa ni kuonekana kwa mfano wa utukufu wa Yehova.+ Nilipouona, ndipo nikaanguka kifudifudi,+ nami nikaanza kusikia sauti ya mtu anayesema. 
 
-