-
2 Mambo ya Nyakati 7:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+
-
-
Ezekieli 1:28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Kulikuwa na kitu kinachoonekana kama upinde+ ambao hutokea katika wingu kubwa katika siku ya mvua. Hivyo ndivyo ulivyokuwa mwangaza uliozunguka pande zote. Kulikuwa ni kuonekana kwa mfano wa utukufu wa Yehova.+ Nilipouona, ndipo nikaanguka kifudifudi,+ nami nikaanza kusikia sauti ya mtu anayesema.
-