Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wana wote wa Israeli walikuwa wakitazama wakati moto uliposhuka na utukufu wa Yehova ulipokuwa juu ya nyumba ile, kisha wakainama+ kifudifudi mara moja, juu ya sakafu ya mawe, wakasujudu+ na kumshukuru Yehova, “kwa maana yeye ni mwema,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Ezekieli 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kulikuwa na kitu kinachoonekana kama upinde+ ambao hutokea katika wingu kubwa katika siku ya mvua. Hivyo ndivyo ulivyokuwa mwangaza uliozunguka pande zote. Kulikuwa ni kuonekana kwa mfano wa utukufu wa Yehova.+ Nilipouona, ndipo nikaanguka kifudifudi,+ nami nikaanza kusikia sauti ya mtu anayesema.

  • Ezekieli 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao utukufu wa Mungu wa Israeli,+ uliondolewa juu ya makerubi+ ambao ulikuwa juu yao kwenye mlango wa nyumba hiyo,+ naye akaanza kumwita yule mwanamume aliyevaa kitani,+ ambaye alikuwa na kidau cha wino kiunoni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki