Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nanyi mtazishika na kuzifanya, kwa sababu hiyo ni hekima+ kwenu na uelewaji+ kwenu mbele ya macho ya vikundi vya watu watakaosikia juu ya masharti yote haya, nao watasema, ‘Taifa hili kubwa bila shaka ni watu wenye hekima na wenye uelewaji.’+

  • 2 Samweli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na kuna taifa gani moja duniani lililo kama watu wako Israeli,+ ambao Mungu alikwenda kujikombolea mwenyewe wawe kikundi cha watu+ wake na kujipa jina+ na kuwafanyia mambo makubwa na yenye kuogopesha+—kufukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao umejikombolea+ mwenyewe kutoka Misri?

  • 1 Wafalme 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi malkia wa Sheba+ alikuwa akisikia habari za Sulemani kuhusiana na jina la Yehova.+ Kwa hiyo akaenda kumjaribu kwa maswali yenye kutatanisha.+

  • Zaburi 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kutoka Sayuni, ukamilifu wa uzuri,+ Mungu mwenyewe ameangaza.+

  • Maombolezo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wote wanaopita barabarani wamekupigia makofi.+

      Wamepiga mluzi+ wa mshangao na kuendelea kutikisa vichwa+ vyao kwa sababu ya binti Yerusalemu, wakisema:

      “Je, hili ndilo lile jiji ambalo walikuwa wakisema hivi kwa habari zake, ‘Hili ndilo ukamilifu wa uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki