Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+

      Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+

  • 1 Wakorintho 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+

  • Waefeso 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ili alitakase,+ akilisafisha na kuliosha kwa maji kwa njia ya neno,+

  • Tito 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+

  • Waebrania 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo ya kweli katika uhakikisho kamili wa imani, mioyo yetu ikiisha kunyunyizwa kutokana na dhamiri+ ya uovu na miili yetu kuoshwa kwa maji safi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki