Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tangazo dhidi ya Babiloni,+ ambalo Isaya+ mwana wa Amozi aliona katika maono:

  • Isaya 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Halitakaliwa kamwe,

      Wala halitakuwa makao ya watu kwa vizazi vyote.+

      Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

      Na hakuna wachungaji watakaopumzisha mifugo yao huko.

  • Isaya 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na eneo lenye umajimaji, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.

  • Yeremia 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana taifa limemshambulia kutoka kaskazini.+

      Linaifanya nchi yake kuwa kitu cha kutisha;

      Hakuna mtu anayekaa ndani yake.

      Mwanadamu na pia mnyama wamekimbia;

      Wameenda zao.”

  • Yeremia 50:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo, viumbe wa jangwani watakaa pamoja na wanyama wanaopiga mayowe,

      Na mbuni watakaa ndani yake.+

      Hakutakuwa na wakaaji tena ndani yake,

      Wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.”+

  • Yeremia 51:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nayo dunia itatetemeka na kutikisika,

      Kwa maana mawazo ya Yehova dhidi ya Babiloni yatatekelezwa

      Ili kuifanya nchi ya Babiloni kuwa kitu cha kutisha, bila mkaaji.+

  • Yeremia 51:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+

      Pango la mbwamwitu,+

      Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,

      Bila mkaaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki