Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Abiya, mfalme wa Yuda (1-22)

        • Abiya amshinda Yeroboamu (3-20)

2 Mambo ya Nyakati 13:1

Marejeo

  • +1Fa 15:1, 2

2 Mambo ya Nyakati 13:2

Marejeo

  • +2Nya 11:20, 21
  • +Yos 18:28; 1Sa 10:26
  • +1Fa 15:6

2 Mambo ya Nyakati 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliochaguliwa.”

  • *

    Tnn., “waliochaguliwa.”

Marejeo

  • +2Nya 11:1

2 Mambo ya Nyakati 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, agano linalodumu na lisilobadilika.

Marejeo

  • +Mwa 49:10; 2Sa 7:8; Zb 78:70, 71
  • +2Sa 7:12, 13; 1Nya 17:11, 14; Lu 1:32
  • +Zb 89:28, 29

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 20

2 Mambo ya Nyakati 13:6

Marejeo

  • +2Nya 10:2
  • +1Fa 11:26, 27; 12:20

2 Mambo ya Nyakati 13:8

Marejeo

  • +1Fa 12:26, 28; 2Nya 11:15

2 Mambo ya Nyakati 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyeujaza mkono wake na.”

Marejeo

  • +2Nya 11:14
  • +1Fa 12:31, 33; 13:33

2 Mambo ya Nyakati 13:10

Marejeo

  • +2Nya 11:16

2 Mambo ya Nyakati 13:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mikate ya wonyesho.

Marejeo

  • +Kut 29:39
  • +Kut 30:1
  • +Kut 25:30
  • +Kut 25:31
  • +Kut 27:20

2 Mambo ya Nyakati 13:12

Marejeo

  • +Hes 10:9

2 Mambo ya Nyakati 13:14

Marejeo

  • +2Nya 14:11; 18:31

2 Mambo ya Nyakati 13:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliochaguliwa.”

2 Mambo ya Nyakati 13:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walimwegemea.”

Marejeo

  • +2Fa 18:1, 5; 1Nya 5:20; 2Nya 16:8; Zb 22:5; 37:5; Nah 1:7

2 Mambo ya Nyakati 13:19

Marejeo

  • +1Fa 12:28, 29
  • +Yoh 11:54

2 Mambo ya Nyakati 13:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nguvu.”

Marejeo

  • +1Sa 25:38; 1Fa 14:20; Mdo 12:21-23

2 Mambo ya Nyakati 13:21

Marejeo

  • +Kum 17:17

2 Mambo ya Nyakati 13:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ufafanuzi wa; maelezo ya.”

Marejeo

  • +2Nya 9:29; 12:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 13:11Fa 15:1, 2
2 Nya. 13:22Nya 11:20, 21
2 Nya. 13:2Yos 18:28; 1Sa 10:26
2 Nya. 13:21Fa 15:6
2 Nya. 13:32Nya 11:1
2 Nya. 13:5Mwa 49:10; 2Sa 7:8; Zb 78:70, 71
2 Nya. 13:52Sa 7:12, 13; 1Nya 17:11, 14; Lu 1:32
2 Nya. 13:5Zb 89:28, 29
2 Nya. 13:62Nya 10:2
2 Nya. 13:61Fa 11:26, 27; 12:20
2 Nya. 13:81Fa 12:26, 28; 2Nya 11:15
2 Nya. 13:92Nya 11:14
2 Nya. 13:91Fa 12:31, 33; 13:33
2 Nya. 13:102Nya 11:16
2 Nya. 13:11Kut 29:39
2 Nya. 13:11Kut 30:1
2 Nya. 13:11Kut 25:30
2 Nya. 13:11Kut 25:31
2 Nya. 13:11Kut 27:20
2 Nya. 13:12Hes 10:9
2 Nya. 13:142Nya 14:11; 18:31
2 Nya. 13:182Fa 18:1, 5; 1Nya 5:20; 2Nya 16:8; Zb 22:5; 37:5; Nah 1:7
2 Nya. 13:191Fa 12:28, 29
2 Nya. 13:19Yoh 11:54
2 Nya. 13:201Sa 25:38; 1Fa 14:20; Mdo 12:21-23
2 Nya. 13:21Kum 17:17
2 Nya. 13:222Nya 9:29; 12:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 13:1-22

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

13 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.+

3 Basi Abiya akaenda vitani akiwa na jeshi lenye mashujaa hodari 400,000 waliozoezwa.*+ Na Yeroboamu akajipanga kivita ili kupigana naye akiwa na wanaume 800,000, mashujaa hodari waliozoezwa.* 4 Sasa Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, katika eneo lenye milima la Efraimu, akasema: “Nisikilizeni, Ee Yeroboamu na Waisraeli wote. 5 Je, hamjui kwamba Yehova Mungu wa Israeli alimpa Daudi ufalme juu ya Israeli milele,+ yeye na wanawe,+ kupitia agano la chumvi?*+ 6 Lakini Yeroboamu+ mwana wa Nebati, mtumishi wa Sulemani mwana wa Daudi, akainuka na kumwasi bwana wake.+ 7 Na wanaume wazembe, wasiofaa kitu wakaendelea kujiunga naye. Nao walimzidi maarifa Rehoboamu mwana wa Sulemani, Rehoboamu alipokuwa kijana mchanga asiye na ujasiri, naye hangeweza kushindana nao.

8 “Na sasa mnafikiri kwamba mnaweza kushindana na ufalme wa Yehova ulio mikononi mwa wana wa Daudi kwa sababu ninyi ni umati mkubwa nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea wawe miungu yenu.+ 9 Je, hamjawafukuza makuhani wa Yehova,+ wazao wa Haruni, na Walawi, na je, hamjawaweka makuhani wenu wenyewe kama yalivyofanya mataifa ya nchi nyingine?+ Yeyote aliyeleta* ng’ombe dume mchanga na kondoo dume saba, angeweza kuwa kuhani wa vitu ambavyo si miungu. 10 Lakini sisi, Yehova ndiye Mungu wetu,+ nasi hatujamwacha; makuhani wetu, wazao wa Haruni, wanamhudumia Yehova, na Walawi wanawasaidia kazi. 11 Wanamfukizia Yehova moshi wa dhabihu za kuteketezwa kila asubuhi na kila jioni+ pamoja na uvumba uliotiwa manukato,+ na mikate ya tabaka*+ iko kwenye meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi, nao wanawasha kinara cha taa cha dhahabu+ na taa zake kila jioni,+ kwa sababu tunatekeleza jukumu letu kwa Yehova Mungu wetu; lakini ninyi mmemwacha. 12 Sasa tazama! Mungu wa kweli yuko pamoja nasi, akituongoza, na makuhani wake wakiwa na tarumbeta za kutoa ishara ya vita dhidi yenu. Enyi wanaume wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu, kwa maana hamtafanikiwa.”+

13 Lakini Yeroboamu alituma wanajeshi wawavizie kutoka nyuma, hivi kwamba jeshi lake lilikabili Yuda upande wa mbele na wanajeshi waliovizia walikuwa nyuma yao. 14 Wanaume wa Yuda walipogeuka, waligundua kwamba wanashambuliwa kutoka mbele na nyuma. Kwa hiyo wakaanza kumlilia Yehova,+ huku makuhani wakipiga tarumbeta kwa sauti kubwa. 15 Wanaume wa Yuda wakaanza kupiga kelele za vita, na wanaume hao wa Yuda walipopiga kelele za vita, Mungu wa kweli akamshinda Yeroboamu na Waisraeli wote mbele ya Abiya na Yuda. 16 Waisraeli wakawakimbia wanaume wa Yuda, na Mungu akawatia mikononi mwao. 17 Abiya na watu wake wakawachinja wanajeshi wengi, wakaendelea kuwaua wanajeshi wa Israeli, waliwaua wanaume 500,000 waliozoezwa.* 18 Basi wanaume wa Israeli wakanyenyekezwa wakati huo, lakini wanaume wa Yuda waliwashinda kwa sababu walimtegemea* Yehova Mungu wa mababu zao.+ 19 Abiya akaendelea kumfuatia Yeroboamu, akateka majiji yake, Betheli+ na miji yake, Yeshana na miji yake, na Efraini+ na miji yake. 20 Na Yeroboamu hakupata tena mamlaka* katika siku za Abiya; kisha Yehova akampiga, naye akafa.+

21 Lakini Abiya akaendelea kupata nguvu. Baada ya muda akaoa wake 14,+ akazaa wana 22 na mabinti 16.⁠ 22 Na mambo mengine katika historia ya Abiya, mambo aliyotenda na kusema, yameandikwa katika maandishi ya* nabii Ido.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki