Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Miradi mingine ya ujenzi ya Sulemani (1-11)

      • Ibada ya hekaluni yapangwa (12-16)

      • Meli za Sulemani (17, 18)

2 Mambo ya Nyakati 8:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba lake.”

Marejeo

  • +1Fa 6:37, 38; 7:1; 9:10

2 Mambo ya Nyakati 8:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Marejeo

  • +1Fa 5:1

2 Mambo ya Nyakati 8:4

Marejeo

  • +1Fa 9:17-19
  • +2Fa 14:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1999, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 1/15 28

2 Mambo ya Nyakati 8:5

Marejeo

  • +Yos 16:5
  • +Yos 16:1, 3; 1Nya 7:24

2 Mambo ya Nyakati 8:6

Marejeo

  • +Yos 19:44, 48
  • +1Fa 4:26

2 Mambo ya Nyakati 8:7

Marejeo

  • +Mwa 15:18-21; Hes 13:29
  • +1Fa 9:20-23

2 Mambo ya Nyakati 8:8

Marejeo

  • +Yos 15:63; 17:12
  • +Yos 16:10; 2Nya 2:17, 18

2 Mambo ya Nyakati 8:9

Marejeo

  • +Law 25:39
  • +1Sa 8:11, 12

2 Mambo ya Nyakati 8:10

Marejeo

  • +1Fa 5:16; 9:23; 2Nya 2:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 8:11

Marejeo

  • +1Fa 3:1
  • +1Fa 7:8; 9:24
  • +Kut 29:43

2 Mambo ya Nyakati 8:12

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +2Nya 4:1
  • +1Fa 6:3

2 Mambo ya Nyakati 8:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vibanda vya Muda.”

Marejeo

  • +Hes 28:9
  • +Hes 28:11-15
  • +Kum 16:16
  • +Law 23:6
  • +Law 23:15, 16
  • +Law 23:34

2 Mambo ya Nyakati 8:14

Marejeo

  • +1Nya 24:1
  • +1Nya 6:31, 32; 15:16; 16:37, 42; 25:1
  • +1Nya 26:1

2 Mambo ya Nyakati 8:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ilikuwa na mpangilio mzuri; ilikamilishwa.”

Marejeo

  • +1Fa 6:1
  • +1Fa 7:51

2 Mambo ya Nyakati 8:17

Marejeo

  • +Hes 33:1, 35; 1Fa 22:48
  • +Kum 2:8; 2Fa 14:21, 22; 16:6
  • +1Fa 9:26-28

2 Mambo ya Nyakati 8:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa na uzito wa kilogramu 34.2. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +2Sa 5:11
  • +1Fa 22:48; Zb 45:9
  • +1Fa 10:22
  • +Mhu 2:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 8:11Fa 6:37, 38; 7:1; 9:10
2 Nya. 8:21Fa 5:1
2 Nya. 8:41Fa 9:17-19
2 Nya. 8:42Fa 14:28
2 Nya. 8:5Yos 16:5
2 Nya. 8:5Yos 16:1, 3; 1Nya 7:24
2 Nya. 8:6Yos 19:44, 48
2 Nya. 8:61Fa 4:26
2 Nya. 8:7Mwa 15:18-21; Hes 13:29
2 Nya. 8:71Fa 9:20-23
2 Nya. 8:8Yos 15:63; 17:12
2 Nya. 8:8Yos 16:10; 2Nya 2:17, 18
2 Nya. 8:9Law 25:39
2 Nya. 8:91Sa 8:11, 12
2 Nya. 8:101Fa 5:16; 9:23; 2Nya 2:18
2 Nya. 8:111Fa 3:1
2 Nya. 8:111Fa 7:8; 9:24
2 Nya. 8:11Kut 29:43
2 Nya. 8:12Law 1:3
2 Nya. 8:122Nya 4:1
2 Nya. 8:121Fa 6:3
2 Nya. 8:13Hes 28:9
2 Nya. 8:13Hes 28:11-15
2 Nya. 8:13Kum 16:16
2 Nya. 8:13Law 23:6
2 Nya. 8:13Law 23:15, 16
2 Nya. 8:13Law 23:34
2 Nya. 8:141Nya 24:1
2 Nya. 8:141Nya 6:31, 32; 15:16; 16:37, 42; 25:1
2 Nya. 8:141Nya 26:1
2 Nya. 8:161Fa 6:1
2 Nya. 8:161Fa 7:51
2 Nya. 8:17Hes 33:1, 35; 1Fa 22:48
2 Nya. 8:17Kum 2:8; 2Fa 14:21, 22; 16:6
2 Nya. 8:171Fa 9:26-28
2 Nya. 8:182Sa 5:11
2 Nya. 8:181Fa 22:48; Zb 45:9
2 Nya. 8:181Fa 10:22
2 Nya. 8:18Mhu 2:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 8:1-18

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

8 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba ya Yehova na nyumba yake* mwenyewe,+ 2 Sulemani alijenga upya majiji ambayo Hiramu+ alikuwa amempa, akawapa Waisraeli* waishi humo. 3 Isitoshe, Sulemani alienda Hamath-soba na kuliteka jiji hilo. 4 Kisha akajenga tena jiji la Tadmori kule nyikani na majiji yote yenye maghala+ aliyokuwa amejenga Hamathi.+ 5 Alijenga pia Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyokuwa na kuta, malango, na makomeo, 6 na Baalathi+ na pia majiji yote ya Sulemani yenye maghala, majiji yote ya magari ya vita,+ majiji ya wapanda farasi, na chochote ambacho Sulemani alitamani kujenga huko Yerusalemu, Lebanoni, na katika nchi yote iliyokuwa chini ya mamlaka yake.

7 Na watu wote waliobaki, yaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi+ ambao hawakuwa sehemu ya Waisraeli,+ 8 wazao wao waliobaki nchini—wale ambao Waisraeli hawakuwaangamiza+—Sulemani aliwaandikisha ili wafanye kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+ 9 Lakini Sulemani hakumfanya Mwisraeli yeyote kuwa mtumwa wake,+ kwa sababu walikuwa mashujaa wake, wakuu wa makamanda wake wasaidizi, na wakuu wa waendeshaji wa magari yake ya vita na wapanda farasi wake.+ 10 Kulikuwa na wakuu 250 wa wasaidizi wa Mfalme Sulemani, waliokuwa wasimamizi wa watu.+

11 Pia, Sulemani alimtoa binti ya Farao+ kutoka katika Jiji la Daudi na kumpeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa ni mke wangu, hapaswi kukaa katika nyumba ya Mfalme Daudi wa Israeli, kwa sababu sehemu ambazo Sanduku la Yehova limeletwa ni takatifu.”+

12 Kisha Sulemani akamtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ kwenye madhabahu+ ya Yehova aliyokuwa amejenga mbele ya ukumbi.+ 13 Alifuata utaratibu wa kila siku kwa kutoa dhabihu kulingana na amri ya Musa iliyohusu Sabato,+ miezi mipya,+ na sherehe zilizoamriwa mara tatu kwa mwaka+—Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda.*+ 14 Pia, alipanga vikundi vya makuhani+ kwa ajili ya utumishi wao kulingana na sheria ya Daudi baba yake, na Walawi katika vituo vyao vya kazi, ili watoe sifa+ na kuhudumu mbele ya makuhani kulingana na utaratibu wa kila siku, na walinzi wa malango katika vikundi vyao kwenye malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo alivyoamuru Daudi, mtu wa Mungu wa kweli. 15 Nao hawakuacha amri ambayo mfalme aliwapa makuhani na Walawi kuhusiana na jambo lolote au kuhusiana na maghala. 16 Basi kazi yote ya Sulemani ilipangwa vizuri sana,* kuanzia siku ambayo msingi wa nyumba ya Yehova uliwekwa+ mpaka ilipomalizwa. Basi nyumba ya Yehova ikakamilishwa.+

17 Huo ndio wakati ambapo Sulemani alienda Esion-geberi+ na Elothi+ kwenye ufuo wa bahari katika nchi ya Edomu.+ 18 Hiramu+ aliwatuma watumishi wake mwenyewe wampelekee meli na mabaharia wenye uzoefu. Wakaenda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani, wakachukua huko talanta 450* za dhahabu+ na kumletea Mfalme Sulemani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki