Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Kusali kwa ajili ya watu wa namna zote (1-7)

        • Mungu mmoja, mpatanishi mmoja (5)

        • Fidia inayolingana kwa ajili ya wote (6)

      • Maagizo kwa wanaume na wanawake (8-15)

        • Kuvaa kwa kiasi (9, 10)

1 Timotheo 2:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1996, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/1 20

1 Timotheo 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye mamlaka.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 5:44
  • +Yer 29:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    11/2020, uku. 15

    Ufahamu, uku. 669

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1996, uku. 20

    9/15/1993, uku. 15

    11/1/1990, kur. 11-12

    Huduma ya Ufalme,

    11/1990, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 5/1 20

1 Timotheo 2:3

Marejeo

  • +Yud 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 416

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 416

1 Timotheo 2:4

Marejeo

  • +Isa 45:22; Mdo 17:30; Ro 5:18; 1Ti 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 169

    Furahia Maisha Milele!, somo la 47

    Ufahamu,

    Kutoa Sababu, uku. 416

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 416

1 Timotheo 2:5

Marejeo

  • +Kum 6:4; Ro 3:30
  • +Ebr 8:6; 9:15
  • +1Ko 11:25
  • +Mdo 4:12; Ro 5:15; 2Ti 1:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 27

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2008, kur. 13-14

    2/15/1991, uku. 17

    12/15/1989, uku. 30

    8/15/1989, kur. 30-31

    2/15/1986, kur. 14-15

    Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 12/15 13-14

1 Timotheo 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu wa namna zote.”

Marejeo

  • +Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 104

    Mkaribie Yehova, kur. 142-143

    Furahia Maisha Milele!, somo la 27

    Ufahamu,

    Ufahamu, uku. 735

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, uku. 13

    4/15/1999, uku. 12

    7/15/1997, kur. 6-7

    6/15/1992, kur. 5-6

    2/15/1991, kur. 12-13, 17

    8/15/1989, uku. 30

    2/15/1986, kur. 14-15

    Utatu, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 13; cl 142-143; w99 4/15 12; w97 7/15 6-7

1 Timotheo 2:7

Marejeo

  • +Mdo 9:15
  • +Gal 2:7, 8
  • +Gal 1:15, 16

1 Timotheo 2:8

Marejeo

  • +Zb 141:2
  • +Yak 1:20
  • +Flp 2:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 109

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2002, uku. 19

    11/15/1992, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 11/15 19

1 Timotheo 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yenye kuheshimika.”

  • *

    Au “kufanya maamuzi mazuri; busara.”

Marejeo

  • +1Pe 3:3, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2023, uku. 20

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, kur. 65-66

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2016, kur. 16-17

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2015, uku. 9

    2/15/2009, kur. 20-21

    5/1/2005, uku. 29

    12/1/2003, uku. 22

    8/1/2002, kur. 17-18

    8/15/1992, uku. 14

    6/1/1991, uku. 30

    8/15/1988, kur. 17-18

    3/15/1987, uku. 6

    “Upendo wa Mungu,” kur. 56-57

    Mapenzi ya Yehova, somo la 8

    Vijana Huuliza, Buku la 1, uku. 79

    Amkeni!,

    10/8/2005, uku. 27

    8/8/1998, uku. 21

    3/8/1995, kur. 21-24

    10/8/1991, uku. 13

    Shule ya Huduma, kur. 131-132

    Huduma ya Ufalme,

    10/1996, uku. 9

    Kutoa Sababu, uku. 404

  • Fahirishi ya Machapisho

    yp1 79; w09 2/15 20-21; lv 56-57; w05 5/1 29; g05 10/8 27; rs 404; w03 12/1 22; w02 8/1 17-18; be 131-132; g98 8/8 21; km 10/96 8

1 Timotheo 2:10

Marejeo

  • +Met 31:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 52

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    5/2016, kur. 16-17

    Mapenzi ya Yehova, somo la 8

    The Watchtower,

    5/1/2005, uku. 29

    12/1/2003, uku. 22

    8/1/2002, kur. 17-18

    Amkeni!,

    10/8/2005, uku. 27

    Shule ya Huduma, kur. 131-132

    Kutoa Sababu, uku. 404

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/1 29; g05 10/8 27; rs 404; w03 12/1 22; w02 8/1 17-18; be 131-132

1 Timotheo 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa utulivu.”

Marejeo

  • +Efe 5:24

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/1994, uku. 13

    Kutoa Sababu, uku. 402

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 402

1 Timotheo 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awe mtulivu.”

Marejeo

  • +1Ko 14:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2007, uku. 4

    3/1/1989, uku. 6

    Amkeni!,

    7/8/1994, kur. 12-13

    Kutoa Sababu, uku. 402

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 1/15 4; rs 402

1 Timotheo 2:13

Marejeo

  • +Mwa 2:18, 22; 1Ko 11:8

1 Timotheo 2:14

Marejeo

  • +Mwa 3:6, 13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2020, uku. 4

    Ufahamu,

    Amkeni!,

    9/8/1998, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    g98 9/8 26

1 Timotheo 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanaendelea.”

  • *

    Au “kufanya maamuzi mazuri; busara.”

Marejeo

  • +1Ti 5:14
  • +1Ti 2:9, 10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2017, uku. 6

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, uku. 30

    5/1/2005, uku. 29

    1/15/1991, uku. 30

    3/1/1988, kur. 19-20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/15 30; w05 5/1 29

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 2:2Mt 5:44
1 Tim. 2:2Yer 29:7
1 Tim. 2:3Yud 25
1 Tim. 2:4Isa 45:22; Mdo 17:30; Ro 5:18; 1Ti 4:10
1 Tim. 2:5Kum 6:4; Ro 3:30
1 Tim. 2:5Ebr 8:6; 9:15
1 Tim. 2:51Ko 11:25
1 Tim. 2:5Mdo 4:12; Ro 5:15; 2Ti 1:9, 10
1 Tim. 2:6Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14
1 Tim. 2:7Mdo 9:15
1 Tim. 2:7Gal 2:7, 8
1 Tim. 2:7Gal 1:15, 16
1 Tim. 2:8Zb 141:2
1 Tim. 2:8Yak 1:20
1 Tim. 2:8Flp 2:14
1 Tim. 2:91Pe 3:3, 4
1 Tim. 2:10Met 31:30
1 Tim. 2:11Efe 5:24
1 Tim. 2:121Ko 14:34
1 Tim. 2:13Mwa 2:18, 22; 1Ko 11:8
1 Tim. 2:14Mwa 3:6, 13
1 Tim. 2:151Ti 5:14
1 Tim. 2:151Ti 2:9, 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 2:1-15

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

2 Basi, kwanza kabisa, ninahimiza kwamba dua, shukrani, sala, na maombi yatolewe kwa ajili ya watu wa namna zote, 2 kutia ndani wafalme na wote wenye vyeo vya juu,*+ ili tuendelee kuishi kwa amani na utulivu na ujitoaji-kimungu* kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+ 3 Jambo hilo ni zuri na linampendeza Mwokozi wetu, Mungu,+ 4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli. 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa. 7 Kwa ajili ya ushahidi huo+ niliwekwa rasmi niwe mhubiri na mtume+—ninasema ukweli, sisemi uwongo⁠—mwalimu wa mataifa+ kuhusu imani na kweli.

8 Basi ninatamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kusali, wakiinua mikono yenye ushikamanifu,+ bila hasira+ wala mabishano.+ 9 Vivyo hivyo, wanawake wanapaswa kujipamba kwa mavazi yanayofaa,* kwa kiasi na utimamu wa akili,* si kwa mitindo ya kusuka nywele, dhahabu, lulu, au mavazi ya bei ghali sana,+ 10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaokiri kwamba wanamtumikia Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema.

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya* na kwa ujitiisho kamili.+ 12 Simruhusu mwanamke afundishe wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume, bali akae kimya.*+ 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.+ 14 Pia, Adamu hakudanganywa, bali mwanamke alidanganywa kabisa+ akawa mtenda dhambi. 15 Hata hivyo, atalindwa kupitia kuzaa watoto,+ maadamu anaendelea* kuwa na imani, upendo, utakatifu, na utimamu wa akili.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki