Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Jinsi ya kuwatendea vijana na wazee (1, 2)

      • Kuwasaidia wajane (3-16)

        • Kuandaa mahitaji ya watu wa nyumba yako (8)

      • Kuheshimu wazee wenye bidii (17-25)

        • “Divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako” (23)

1 Timotheo 5:1

Marejeo

  • +Law 19:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 5

1 Timotheo 5:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    7/2021, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1991, uku. 23

    9/15/1986, uku. 13

1 Timotheo 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Waheshimu.”

  • *

    Au “wajane maskini”; yaani, wasio na mtu wa kuwasaidia.

Marejeo

  • +1Ti 5:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2001, uku. 6

    6/1/1987, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w01 5/1 6

1 Timotheo 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ti 5:8
  • +Mt 15:4; Efe 6:2
  • +Yak 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 130, 164

    Ufahamu, uku. 971

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2006, uku. 6

    5/1/2001, kur. 5-6

    9/1/1997, uku. 4

    8/1/1994, uku. 28

    9/15/1993, uku. 17

    3/1/1990, kur. 20-21

    1/15/1989, uku. 23

    6/15/1987, uku. 24

    6/1/1987, kur. 13-18

    11/1/1986, uku. 22

    Furaha ya Familia, kur. 149, 173-174

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

    Amkeni!,

    8/8/1992, uku. 14

    Huduma ya Ufalme,

    5/1991, uku. 2

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/1 6; w01 5/1 5; w97 9/1 4; jv 305; fy 149, 173-174

1 Timotheo 5:5

Marejeo

  • +1Ko 7:34
  • +Lu 2:36, 37

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 8

1 Timotheo 5:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, kur. 8-9

1 Timotheo 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “amri hizi.”

1 Timotheo 5:8

Marejeo

  • +Mt 15:4-6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2023, uku. 27

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 130

    Furahia Maisha Milele!, somo la 49

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 24

    Dumu Katika Upendo wa Mungu, uku. 137

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2014, uku. 23

    2/15/2012, uku. 7

    5/15/2011, uku. 7

    5/1/2007, kur. 20-21

    6/15/2005, kur. 18-20

    6/1/1998, kur. 20-21

    9/1/1997, kur. 4-5

    8/15/1997, kur. 19-20

    10/15/1996, kur. 22-23

    10/1/1996, kur. 29-31

    2/15/1993, uku. 23

    11/1/1992, uku. 17

    11/1/1988, uku. 22

    9/1/1988, uku. 30

    7/15/1988, uku. 21

    2/15/1988, uku. 31

    6/15/1987, kur. 24-26

    6/1/1987, kur. 13-14

    11/1/1986, uku. 22

    “Upendo wa Mungu,” uku. 116

    Furaha ya Familia, uku. 160

    Ujuzi, kur. 145-146

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

    Amkeni!,

    2/22/1993, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 2/15 7; w11 5/15 7; lv 116; w07 5/1 20-21; w05 6/15 18-20; w98 6/1 20-21; w97 8/15 19-20; w97 9/1 4-5; jv 305; w96 10/1 29-31; w96 10/15 22-23; fy 160

1 Timotheo 5:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2007, uku. 31

    6/1/2006, kur. 6-7

    10/15/1995, uku. 32

    6/1/1987, uku. 9

    10/15/1986, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/1 31; w06 6/1 6-7

1 Timotheo 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alikuwa mkarimu.”

Marejeo

  • +Mdo 9:39
  • +1Ti 2:15
  • +Ebr 13:2; 1Pe 4:9
  • +Yoh 13:5, 14
  • +1Ti 5:16; Yak 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2006, kur. 6-7

    10/15/1995, uku. 32

    Wapiga-Mbiu, uku. 305

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 6/1 6-7; jv 305

1 Timotheo 5:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 9

1 Timotheo 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ahadi waliyotoa mwanzoni.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1987, uku. 9

1 Timotheo 5:13

Marejeo

  • +2Th 3:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, uku. 18

    6/15/2007, uku. 20

    10/15/1989, kur. 11, 20

    Amkeni!,

    3/8/1990, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 18; w07 6/15 20

1 Timotheo 5:14

Marejeo

  • +1Ko 7:8, 9
  • +1Ti 2:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1989, uku. 20

1 Timotheo 5:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, kur. 18-19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 18-19

1 Timotheo 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wajane maskini”; yaani, wasio na mtu wa kuwasaidia.

Marejeo

  • +Kum 15:11; 1Ti 5:5; Yak 1:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1994, uku. 28

1 Timotheo 5:17

Marejeo

  • +1Pe 5:2, 3
  • +Mdo 28:10; Ebr 13:17
  • +1Th 5:12; Ebr 13:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1997, uku. 20

    2/1/1991, uku. 23

    9/15/1989, uku. 22

    6/1/1986, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 10/1 20

1 Timotheo 5:18

Marejeo

  • +Kum 25:4; 1Ko 9:7, 9
  • +Law 19:13; Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Gal 6:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1989, uku. 22

1 Timotheo 5:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mzee.”

Marejeo

  • +Kum 19:15; Mt 18:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1989, uku. 18

1 Timotheo 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ili wengine waogope.”

Marejeo

  • +Tit 1:7, 9, 13; Ufu 3:19
  • +1Ko 15:34; 1Yo 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, uku. 149

    Kutoa Sababu, uku. 350

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 350

1 Timotheo 5:21

Marejeo

  • +Law 19:15; Yak 3:17

1 Timotheo 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, usimweke rasmi mtu yeyote haraka haraka.

Marejeo

  • +Mdo 6:5, 6; 14:23; 1Ti 3:2, 6; 4:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2015, uku. 15

1 Timotheo 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Usinywe maji tu.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 43

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, kur. 25-26

    11/1/2015, uku. 15

    8/1/2012, uku. 26

    8/1/1987, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/1 26

1 Timotheo 5:24

Marejeo

  • +Yos 7:11; Ebr 4:13

1 Timotheo 5:25

Marejeo

  • +Mt 5:16
  • +1Ko 4:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 5:1Law 19:32
1 Tim. 5:31Ti 5:16
1 Tim. 5:41Ti 5:8
1 Tim. 5:4Mt 15:4; Efe 6:2
1 Tim. 5:4Yak 1:27
1 Tim. 5:51Ko 7:34
1 Tim. 5:5Lu 2:36, 37
1 Tim. 5:8Mt 15:4-6
1 Tim. 5:101Ti 5:16; Yak 1:27
1 Tim. 5:10Mdo 9:39
1 Tim. 5:101Ti 2:15
1 Tim. 5:10Ebr 13:2; 1Pe 4:9
1 Tim. 5:10Yoh 13:5, 14
1 Tim. 5:132Th 3:11
1 Tim. 5:141Ko 7:8, 9
1 Tim. 5:141Ti 2:15
1 Tim. 5:16Kum 15:11; 1Ti 5:5; Yak 1:27
1 Tim. 5:171Pe 5:2, 3
1 Tim. 5:17Mdo 28:10; Ebr 13:17
1 Tim. 5:171Th 5:12; Ebr 13:7
1 Tim. 5:18Kum 25:4; 1Ko 9:7, 9
1 Tim. 5:18Law 19:13; Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Gal 6:6
1 Tim. 5:19Kum 19:15; Mt 18:16
1 Tim. 5:20Tit 1:7, 9, 13; Ufu 3:19
1 Tim. 5:201Ko 15:34; 1Yo 3:9
1 Tim. 5:21Law 19:15; Yak 3:17
1 Tim. 5:22Mdo 6:5, 6; 14:23; 1Ti 3:2, 6; 4:14
1 Tim. 5:24Yos 7:11; Ebr 4:13
1 Tim. 5:25Mt 5:16
1 Tim. 5:251Ko 4:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 5:1-25

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

5 Usimkosoe kwa ukali mwanamume mzee.+ Badala yake, msihi kama baba, wanaume vijana kama ndugu, 2 wanawake wazee kama mama, na wanawake vijana kama dada, kwa usafi wote wa kiadili.

3 Wajali* wajane ambao ni wajane kwelikweli.*+ 4 Lakini ikiwa mjane yeyote ana watoto au wajukuu, wanapaswa kwanza kujifunza ujitoaji-kimungu* katika nyumba zao wenyewe+ na kuwalipa wazazi wao na wazazi wa wazazi wao kinachowastahili,+ kwa maana hilo linakubalika machoni pa Mungu.+ 5 Basi mwanamke ambaye ni mjane kwelikweli na aliye maskini anamtumaini Mungu+ naye huendelea kusali na kutoa dua usiku na mchana.+ 6 Lakini mwanamke anayefuatilia tamaa za mwili amekufa ingawa yuko hai. 7 Basi endelea kuwapa maagizo haya,* ili wasiwe na lawama. 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji watu wake mwenyewe, hasa watu wa nyumba yake, ameikana imani naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.+

9 Mweke kwenye orodha mjane mwenye umri usiopungua miaka 60, ikiwa alikuwa mke wa mume mmoja, 10 alijulikana kwa kutenda mema,+ alilea watoto,+ alikuwa akiwakaribisha wageni,*+ aliiosha miguu ya watakatifu,+ aliwasaidia watu wenye taabu,+ na akajitolea kufanya kila kazi njema.

11 Kwa upande mwingine, usiwaweke kwenye orodha wajane wenye umri mdogo, kwa maana tamaa zao za ngono zinapokuja kati yao na Kristo, wao hutamani kuolewa. 12 Nao watahukumiwa kwa sababu wameacha imani waliyoonyesha mwanzoni.* 13 Vilevile wanakuwa na tabia ya kupoteza muda, wakizunguka kutoka nyumba moja hadi nyingine; ndiyo, hawapotezi muda tu, bali pia wanapiga porojo na kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea kuhusu mambo ambayo hawapaswi. 14 Kwa hiyo, ninatamani wanawake wajane walio na umri mdogo waolewe,+ wazae watoto,+ wasimamie nyumba, ili wasimpe mpinzani sababu ya kukosoa. 15 Kwa kweli, tayari baadhi yao wamepotoshwa na kumfuata Shetani. 16 Ikiwa mwanamke yeyote mwamini ana watu wa ukoo ambao ni wajane, inafaa awasaidie ili kutaniko lisibebe mzigo huo, na hivyo liwasaidie wale walio wajane kwelikweli.*+

17 Wazee wanaosimamia kwa njia nzuri+ wanastahili heshima mara mbili,+ hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+ 18 Kwa maana andiko linasema, “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe dume anapopura nafaka,”+ pia, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+ 19 Usikubali mashtaka dhidi ya mwanamume mzee,* isipokuwa kwa ushahidi wa mashahidi wawili au watatu.+ 20 Wakaripie+ hadharani watu wanaozoea kutenda dhambi,+ ili liwe onyo kwa wengine.* 21 Ninakuagiza kwa uzito mbele za Mungu na Kristo Yesu na malaika waliochaguliwa, ufuate maagizo haya bila kubagua wala kupendelea.+

22 Usiharakishe kamwe kuweka mikono yako juu ya* mwanamume yeyote;+ wala usishiriki dhambi za wengine; endelea kuwa safi.

23 Usiendelee kunywa maji,* bali unywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako na ugonjwa wako wa mara kwa mara.

24 Dhambi za watu fulani hujulikana hadharani, na hivyo wanahukumiwa moja kwa moja, lakini dhambi za watu wengine hujulikana baadaye.+⁠ 25 Vivyo hivyo, matendo mema hujulikana hadharani+ na hata yale yasiyojulikana hayawezi kuendelea kufichwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki