Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Wasioruhusiwa katika kutaniko la Mungu (1-8)

      • Usafi wa kambi (9-14)

      • Watumwa waliokimbia (15, 16)

      • Ukahaba wakatazwa (17, 18)

      • Riba na nadhiri (19-23)

      • Vitu ambavyo wapita njia wanaruhusiwa kula (24, 25)

Kumbukumbu la Torati 23:1

Marejeo

  • +Law 21:18, 20; Isa 56:4, 5

Kumbukumbu la Torati 23:2

Marejeo

  • +Kut 20:14; Law 20:10

Kumbukumbu la Torati 23:3

Marejeo

  • +Ne 13:1, 2

Kumbukumbu la Torati 23:4

Marejeo

  • +Amu 11:18
  • +Hes 22:6; Yos 24:9

Kumbukumbu la Torati 23:5

Marejeo

  • +Hes 22:35
  • +Hes 23:11, 25; 24:10
  • +Kum 7:7, 8

Kumbukumbu la Torati 23:6

Marejeo

  • +2Sa 8:2; 12:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

Kumbukumbu la Torati 23:7

Marejeo

  • +Mwa 25:25, 26; 36:1; Hes 20:14
  • +Mwa 46:6; Law 19:34; Zb 105:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 151

Kumbukumbu la Torati 23:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kinachochafua.”

Marejeo

  • +1Sa 21:5; 2Sa 11:11

Kumbukumbu la Torati 23:10

Marejeo

  • +Law 15:16

Kumbukumbu la Torati 23:11

Marejeo

  • +Law 15:31

Kumbukumbu la Torati 23:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, choo.

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 6

    Furaha ya Familia, kur. 47-48

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 6; fy 47-48

Kumbukumbu la Torati 23:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 6

    Furaha ya Familia, kur. 47-48

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 6; fy 47-48

Kumbukumbu la Torati 23:14

Marejeo

  • +Law 26:12
  • +1Pe 1:16

Kumbukumbu la Torati 23:16

Marejeo

  • +Kut 22:21

Kumbukumbu la Torati 23:17

Marejeo

  • +Law 19:29; 21:9
  • +1Fa 14:24; 2Fa 23:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, uku. 29

    4/15/1989, uku. 3

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 29

Kumbukumbu la Torati 23:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malipo.” Tnn., “bei.”

  • *

    Tnn., “mbwa.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, uku. 29

    4/15/1989, uku. 3

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 29

Kumbukumbu la Torati 23:19

Marejeo

  • +Kut 22:25; Law 25:36, 37; Ne 5:10; Zb 15:5

Kumbukumbu la Torati 23:20

Marejeo

  • +Kum 15:6
  • +Met 28:8
  • +Kum 15:4, 7, 10; Met 19:17; Lu 6:34, 35

Kumbukumbu la Torati 23:21

Marejeo

  • +Amu 11:30, 31; 1Sa 1:11
  • +Yon 2:9
  • +Mhu 5:4, 6

Kumbukumbu la Torati 23:22

Marejeo

  • +Mhu 5:5

Kumbukumbu la Torati 23:23

Marejeo

  • +Hes 30:2; Zb 15:4; Met 20:25
  • +Amu 11:35; 1Sa 14:24; Mt 5:33

Kumbukumbu la Torati 23:24

Marejeo

  • +Mt 6:11; Ro 13:10

Kumbukumbu la Torati 23:25

Marejeo

  • +Mt 12:1; Lu 6:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 23:1Law 21:18, 20; Isa 56:4, 5
Kum. 23:2Kut 20:14; Law 20:10
Kum. 23:3Ne 13:1, 2
Kum. 23:4Amu 11:18
Kum. 23:4Hes 22:6; Yos 24:9
Kum. 23:5Hes 22:35
Kum. 23:5Hes 23:11, 25; 24:10
Kum. 23:5Kum 7:7, 8
Kum. 23:62Sa 8:2; 12:31
Kum. 23:7Mwa 25:25, 26; 36:1; Hes 20:14
Kum. 23:7Mwa 46:6; Law 19:34; Zb 105:23
Kum. 23:91Sa 21:5; 2Sa 11:11
Kum. 23:10Law 15:16
Kum. 23:11Law 15:31
Kum. 23:14Law 26:12
Kum. 23:141Pe 1:16
Kum. 23:16Kut 22:21
Kum. 23:17Law 19:29; 21:9
Kum. 23:171Fa 14:24; 2Fa 23:7
Kum. 23:19Kut 22:25; Law 25:36, 37; Ne 5:10; Zb 15:5
Kum. 23:20Kum 15:6
Kum. 23:20Met 28:8
Kum. 23:20Kum 15:4, 7, 10; Met 19:17; Lu 6:34, 35
Kum. 23:21Amu 11:30, 31; 1Sa 1:11
Kum. 23:21Yon 2:9
Kum. 23:21Mhu 5:4, 6
Kum. 23:22Mhu 5:5
Kum. 23:23Hes 30:2; Zb 15:4; Met 20:25
Kum. 23:23Amu 11:35; 1Sa 14:24; Mt 5:33
Kum. 23:24Mt 6:11; Ro 13:10
Kum. 23:25Mt 12:1; Lu 6:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 23:1-25

Kumbukumbu la Torati

23 “Mwanamume yeyote aliyehasiwa kwa kuminywa mapumbu au kwa kukatwa uume wake hapaswi kuja katika kutaniko la Yehova.+

2 “Hakuna mwanaharamu anayepaswa kuingia katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi, hakuna mzao wake yeyote anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova.

3 “Hakuna Mwamoni au Mmoabu anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi, hakuna mzao wao yeyote anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova, 4 kwa sababu hawakuwasaidia kwa kuwapa chakula na maji mlipokuwa njiani kutoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori kule Mesopotamia ili awalaani ninyi.+ 5 Lakini Yehova Mungu wenu alikataa kumsikiliza Balaamu.+ Badala yake, Yehova Mungu wenu alibadili laana hiyo ikawa baraka kwenu,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu aliwapenda.+ 6 Hampaswi kamwe kuhangaikia hali yao wala kuwasaidia kupata ufanisi siku zenu zote.+

7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+

“Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+ 8 Kizazi cha tatu cha watoto wao kinaweza kuja katika kutaniko la Yehova.

9 “Mnapopiga kambi ili kuwashambulia maadui wenu, mnapaswa kuepuka kitu chochote kibaya.*+ 10 Ikiwa mwanamume ni mchafu kwa sababu ametokwa na shahawa usiku,+ anapaswa kwenda nje ya kambi, asirudi kambini. 11 Ifikapo jioni, anapaswa kuoga kwa maji, kisha anaweza kurudi kambini jua linapotua.+ 12 Mahali pa faragha* panapaswa kutengwa nje ya kambi, na mnapaswa kwenda kujisaidia huko. 13 Kati ya vifaa vyenu mtakuwa na kijiti. Mnapochuchumaa nje, mnapaswa kukitumia kuchimba shimo na kisha kufunika kinyesi chenu. 14 Kwa maana Yehova Mungu wenu anatembea katika kambi yenu+ ili awakomboe na kuwatia maadui wenu mikononi mwenu, na lazima kambi yenu iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kichafu ndani yenu, naye ageuke na kuacha kutembea pamoja nanyi.

15 “Mtumwa akimkimbia bwana wake na kuja kwako usimrudishe kwa bwana wake. 16 Anaweza kukaa pamoja nawe mahali popote atakapochagua katika mojawapo ya majiji yenu, popote anapopenda. Usimtese.+

17 “Binti yeyote wa Israeli hapaswi kuwa kahaba wa hekaluni, + wala mwana yeyote wa Israeli hapaswi kuwa kahaba wa hekaluni.+ 18 Hampaswi kuleta mapato ya mwanamke kahaba au mapato* ya mwanamume kahaba* katika nyumba ya Yehova Mungu wenu ili kutimiza nadhiri, kwa sababu vyote viwili ni chukizo kwa Yehova Mungu wenu.

19 “Usimtoze riba ndugu yako,+ iwe ni riba ya mkopo wa pesa, chakula, au kitu chochote kinachoweza kutozwa riba. 20 Unaweza kumtoza riba mgeni,+ lakini usimtoze riba ndugu yako,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zote utakazofanya katika nchi mnayoenda kumiliki.+

21 “Ukiweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako,+ usikawie kuitimiza.+ Kwa maana Yehova Mungu wako kwa hakika atakudai; la sivyo, utakuwa umetenda dhambi.+ 22 Lakini usipoweka nadhiri, hutakuwa na hatia ya dhambi.+ 23 Unapaswa kutimiza maneno ya kinywa chako,+ na ni lazima utekeleze nadhiri uliyoweka kwa kinywa chako mwenyewe kama toleo la hiari kwa Yehova Mungu wako.+

24 “Ukiingia katika shamba la mizabibu la jirani yako, unaweza kula zabibu za kutosha mpaka utosheke, lakini hupaswi kutia zabibu zozote katika chombo chako.+

25 “Ukiingia katika shamba la nafaka la jirani yako, unaweza kukwanyua kwa mkono wako masuke yaliyokomaa, lakini hupaswi kutumia mundu kukata nafaka ya jirani yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki