Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Sifa za kustahili kuwa waangalizi (1-7)

      • Sifa za kustahili kuwa watumishi wa huduma (8-13)

      • Siri takatifu ya ujitoaji-kimungu (14-16)

1 Timotheo 3:1

Marejeo

  • +Mdo 20:28; Tit 1:5-9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2023, uku. 28

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

    Tengenezo, kur. 32-33, 40

    Ufahamu, uku. 1160

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, uku. 21

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2014, kur. 3-4

    5/15/2010, uku. 24

    1/1/2001, uku. 9

    7/1/2000, uku. 29

    12/1/1999, uku. 28

    8/1/1999, uku. 14

    9/1/1990, kur. 18-23

    8/15/1990, uku. 19

    9/15/1989, kur. 16-17

    “Kila Andiko,” kur. 236-237

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/15 24; od 37-38; w01 1/1 9; w00 7/1 29; w99 8/1 14; w99 12/1 28

1 Timotheo 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayefanya maamuzi mazuri; mwenye busara.”

  • *

    Au “mkarimu.”

Marejeo

  • +Ro 12:3; 1Pe 4:7
  • +Mdo 28:7; 1Pe 4:9
  • +1Ti 5:17; 2Ti 2:24; Tit 1:7, 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 42

    Tengenezo, kur. 32, 34-37

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2013, uku. 29

    9/15/1999, uku. 10

    1/1/1997, uku. 28

    10/15/1996, uku. 17

    9/1/1990, kur. 24, 26-27

    Amkeni!,

    6/8/1998, kur. 16-17

    Wapiga-Mbiu, uku. 182

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 9/15 10; g98 6/8 16; w97 1/1 28; jv 182; w96 10/15 17

1 Timotheo 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtu anayepiga watu.”

Marejeo

  • +Ro 13:13
  • +Flp 4:5; Yak 3:17
  • +Ro 12:18; Yak 3:18
  • +Ebr 13:5; 1Pe 5:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 32, 35-36

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, kur. 25-26, 27-28

1 Timotheo 3:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayeongoza.”

Marejeo

  • +Efe 6:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 32, 34, 133-134

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2011, uku. 26

    10/15/1996, kur. 20-21

    5/15/1993, kur. 17-19

    9/1/1990, kur. 24-25

    5/15/1989, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 6/15 26; w96 10/15 20-21

1 Timotheo 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuongoza.”

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 32, 34

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, uku. 9

    10/15/1996, kur. 20-24

    5/15/1993, kur. 17-19

    9/1/1990, kur. 24-25

    3/1/1988, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 9; w96 10/15 20-24

1 Timotheo 3:6

Marejeo

  • +1Ti 5:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 32, 33-34

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, uku. 26

1 Timotheo 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwa na sifa nzuri kutoka kwa”

  • *

    Au “asipate aibu.”

Marejeo

  • +Mdo 22:12; 1Th 4:11, 12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 32, 34-35

    The Watchtower,

    9/15/2005, uku. 30

    9/1/1990, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 9/15 30

1 Timotheo 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waseme kwa unyoofu.”

Marejeo

  • +Mdo 6:3; Tit 1:7; 1Pe 5:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, kur. 25-26

    8/1/1987, uku. 6

1 Timotheo 3:9

Marejeo

  • +1Ti 1:5, 18, 19; 2Ti 1:3; 1Pe 3:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1990, uku. 26

1 Timotheo 3:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wajaribiwe kama wanastahili.”

Marejeo

  • +1Pe 2:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, uku. 54

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2011, uku. 11

    5/1/2006, kur. 23-24

    9/1/1990, kur. 24, 26

    7/1/1989, uku. 29

    Huduma ya Ufalme,

    5/2000, uku. 8

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 4/15 11; w06 5/1 23-24; km 5/00 8

1 Timotheo 3:11

Marejeo

  • +1Ti 5:13
  • +Tit 2:3-5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/15/1996, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/15 17

1 Timotheo 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tengenezo, kur. 133-134

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/1997, uku. 28

    9/1/1990, kur. 24-25

    3/1/1988, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 1/1 28

1 Timotheo 3:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 55

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1989, uku. 29

1 Timotheo 3:15

Marejeo

  • +Ebr 3:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 971-972

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2007, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 4/15 29

1 Timotheo 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yoh 1:14; Flp 2:7
  • +1Pe 3:18
  • +1Pe 3:19, 20
  • +Kol 1:23
  • +Kol 1:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 196

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/2008, kur. 30-31

    6/15/2008, uku. 13

    2/15/2006, uku. 19

    10/15/1997, uku. 11

    3/1/1990, kur. 18-23

    1/15/1990, kur. 10-20

    12/15/1988, uku. 6

    Mwabudu Mungu, uku. 57

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 6/15 13; w08 9/15 30-31; w06 2/15 19; cl 196; wt 57; w97 10/15 11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Tim. 3:1Mdo 20:28; Tit 1:5-9
1 Tim. 3:2Ro 12:3; 1Pe 4:7
1 Tim. 3:2Mdo 28:7; 1Pe 4:9
1 Tim. 3:21Ti 5:17; 2Ti 2:24; Tit 1:7, 9
1 Tim. 3:3Ro 13:13
1 Tim. 3:3Flp 4:5; Yak 3:17
1 Tim. 3:3Ro 12:18; Yak 3:18
1 Tim. 3:3Ebr 13:5; 1Pe 5:2
1 Tim. 3:4Efe 6:4
1 Tim. 3:61Ti 5:22
1 Tim. 3:7Mdo 22:12; 1Th 4:11, 12
1 Tim. 3:8Mdo 6:3; Tit 1:7; 1Pe 5:2
1 Tim. 3:91Ti 1:5, 18, 19; 2Ti 1:3; 1Pe 3:16
1 Tim. 3:101Pe 2:12
1 Tim. 3:111Ti 5:13
1 Tim. 3:11Tit 2:3-5
1 Tim. 3:15Ebr 3:6
1 Tim. 3:16Yoh 1:14; Flp 2:7
1 Tim. 3:161Pe 3:18
1 Tim. 3:161Pe 3:19, 20
1 Tim. 3:16Kol 1:23
1 Tim. 3:16Kol 1:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Timotheo 3:1-16

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

3 Maneno haya ni yenye kutegemeka: Ikiwa mwanamume anajitahidi kuwa mwangalizi,+ anatamani kazi njema. 2 Mwangalizi anapaswa kuwa mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi katika mazoea, mwenye utimamu wa akili,*+ mwenye utaratibu, mkaribishaji wageni,*+ mwenye uwezo wa kufundisha,+ 3 si mlevi,+ si mkatili,* bali mwenye usawaziko,+ si mgomvi,+ si mtu anayependa pesa,+ 4 mwanamume anayeisimamia* nyumba yake vizuri, mwenye watoto wanaojitiisha na kuchukua mambo kwa uzito+ 5 (kwa maana ikiwa mtu hajui jinsi ya kuisimamia* nyumba yake mwenyewe, atalitunzaje kutaniko la Mungu?), 6 si mtu aliyegeuka hivi karibuni,+ ili asije akawa na kiburi na kuanguka katika hukumu aliyohukumiwa Ibilisi. 7 Pia, anapaswa kushuhudiwa vema na* watu walio nje+ ili asianguke katika shutuma* na mtego wa Ibilisi.

8 Vilevile watumishi wa huduma wanapaswa kuchukua mambo kwa uzito, si wenye ndimi mbili,* si wenye kunywa divai nyingi, si wenye pupa ya mapato yasiyo ya haki,+ 9 wakiishika siri takatifu ya imani kwa dhamiri safi.+

10 Pia, wanapaswa kwanza kujaribiwa* kama wanafaa; ndipo watumike wakiwa wahudumu, kwa kuwa hawana shtaka.+

11 Vilevile wanawake wanapaswa kuchukua mambo kwa uzito, wasiwe wachongezi,+ wawe wenye kiasi katika mazoea, na waaminifu katika mambo yote.+

12 Watumishi wa huduma wanapaswa kuwa waume wa mke mmoja, wanaosimamia vizuri watoto wao na nyumba zao wenyewe. 13 Kwa maana wanaume wanaohudumu vizuri wanajipatia sifa nzuri na uhuru mwingi wa kusema katika imani iliyo katika Kristo Yesu.

14 Ninakuandikia mambo haya, ingawa ninatumaini kuja kwako upesi, 15 ili nikichelewa ujue jinsi unavyopaswa kutenda katika nyumba ya Mungu,+ ambayo ni kutaniko la Mungu aliye hai, nguzo na tegemezo la ile kweli. 16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki