Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini wewe mwenyewe unapaswa kuchagua kutoka kati ya watu wote wanaume wenye uwezo,+ wanaomwogopa Mungu,+ wanaume wenye kutegemeka,+ wanaochukia faida isiyo ya haki;+ na lazima uwaweke hao juu yao wawe wakuu juu ya maelfu,+ wakuu juu ya mamia, wakuu juu ya 50, na wakuu juu ya makumi.+

  • Hesabu 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+

  • Hesabu 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo wakuu wa Israeli,+ vichwa vya nyumba ya upande wa baba zao, wakatoa toleo,+ wao wakiwa wakuu wa makabila na wakisimamia wale walioandikishwa,

  • Kumbukumbu la Torati 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi nikawachukua vichwa vya makabila yenu, wanaume wenye hekima na uzoefu, na kuwaweka kuwa vichwa juu yenu, wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia na wakuu wa 50 na wakuu wa makumi na maofisa wa makabila yenu.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Na ikawa kwamba mara tu mlipoisikia sauti kutoka katikati ya lile giza, mlima ulipokuwa ukiwaka moto,+ ninyi mlikuja karibu nami, vichwa vyote vya makabila yenu na wanaume wenu wazee.

  • Kumbukumbu la Torati 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akaandika sheria hii+ na kuwapa makuhani wana wa Lawi,+ wachukuaji wa sanduku la agano la Yehova,+ na kuwapa wanaume wote wazee wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki