12 “Lakini mkirudi nyuma kwa vyovyote+ na kushikamana na mabaki ya mataifa haya,+ yaani, haya yanayobaki na ninyi, na kufanya nao mapatano ya ndoa+ na kuingia katikati yao, nao wakiingia katikati yenu,
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+
22 Kwa maana niliona haya kumwomba mfalme jeshi+ na wapanda-farasi+ ili kutusaidia juu ya adui zetu njiani, kwa sababu tulikuwa tumemwambia mfalme: “Mkono+ wa Mungu wetu uko juu ya wote wanaomtafuta kwa wema,+ bali nguvu zake na hasira zake+ ziko juu ya wote wanaomwacha.”+
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+