7 Nao wakaanza kusemezana: “Njooni, tupige kura,+ tupate kujua ni kwa sababu ya nani tuna taabu hii.”+ Nao wakaendelea kupiga kura, mwishowe kura ikamwangukia Yona.+
3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?