Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na Yonathani mwanangu.” Ndipo Yonathani akachukuliwa.

  • Methali 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+

  • Methali 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +

  • Yeremia 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+

  • Yona 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakaanza kusemezana: “Njooni, tupige kura,+ tupate kujua ni kwa sababu ya nani tuna taabu hii.”+ Nao wakaendelea kupiga kura, mwishowe kura ikamwangukia Yona.+

  • Matendo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki