18 Delila alipoona kwamba amemfunulia moyo wake wote, akapeleka neno haraka na kuwaita wakuu wa muungano wa Wafilisti,+ akisema: “Njooni safari hii, kwa maana amenifunulia moyo wake wote.”+ Na wakuu wa muungano wa Wafilisti wakamfikia huyo mwanamke ili walete zile pesa mkononi mwao.+