Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akaendelea kumlilia zile siku saba ambazo waliendelea na karamu, basi mwishowe ikawa kwenye siku ya saba akamwambia, kwa sababu mwanamke huyo alikuwa amemkaza.+ Kwa hiyo mwanamke huyo akawaambia wana wa watu wake kitendawili hicho.+

  • Waamuzi 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mwishowe akamfunulia moyo wake+ wote na kumwambia: “Wembe+ haujapita kamwe juu ya kichwa changu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu.+ Nikinyolewa, hakika nguvu zangu zitanitoka, nami hakika nitakuwa dhaifu na kuwa kama wanadamu wengine wote.”+

  • Methali 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Jitetee kwa mwenzako,+ wala usifunue mazungumzo ya siri ya mwingine;+

  • Yeremia 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Jihadharini kila mmoja na rafiki yake,+ wala msimtegemee ndugu hata kidogo.+ Kwa maana kila ndugu hakika atanyakua mahali pa mwingine,+ na kila rafiki atatembea huku na huku akiwa mchongezi,+

  • Mika 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msimwamini mwenzi. Msimtegemee rafiki msiri.+ Linda milango ya kinywa chako kutokana na yeye anayelala kifuani pako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki