Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • Waamuzi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+

  • Waamuzi 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo wakuu wa muungano wa Wafilisti+ wakamfikia mwanamke huyo na kumwambia: “Mdanganye+ ili uone nguvu zake nyingi zinatokana na nini, na kile tunachoweza kutumia ili kumshinda, na kile tunachoweza kutumia kumfunga ili kumtawala; nasi tutakupa kila mmoja wetu vipande elfu moja na mia moja vya fedha.”+

  • Waamuzi 16:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Samsoni akasema: “Nafsi yangu na ife+ pamoja na Wafilisti.” Ndipo akajiinamisha kwa nguvu, na nyumba ile ikawaangukia wale wakuu wa muungano na watu wote waliokuwamo ndani,+ hivi kwamba wafu alioua wakati wa kifo chake wakawa wengi kuliko wale alioua wakati wa maisha yake.+

  • 1 Samweli 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi wakawatuma watu wawakusanye kwao wakuu wote wa muungano wa Wafilisti, wakasema: “Tutalifanyia nini sanduku la Mungu wa Israeli?” Mwishowe wakasema: “Acheni sanduku la Mungu wa Israeli lizunguke kwenda Gathi.”+ Basi wakalibeba sanduku la Mungu wa Israeli kwa kuzunguka mpaka huko.

  • 1 Samweli 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo wakasema: “Tunapaswa kumrudishia toleo gani la hatia?” Nao wakasema: “Kulingana na hesabu ya wakuu wa muungano+ wa Wafilisti, bawasiri tano za dhahabu na panya watano wa dhahabu, kwa maana kila mmoja wenu na wakuu wenu wa muungano wana tauni ileile.

  • 1 Samweli 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakuu wa muungano wa Wafilisti+ walikuwa wakipita kwa mamia na kwa maelfu, na Daudi na watu wake walikuwa wakipita baadaye pamoja na Akishi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kulikuwa na baadhi ya watu wa Manase waliotorokea kwa Daudi alipokuja na Wafilisti+ juu ya Sauli kwa ajili ya vita; lakini hakuwasaidia, kwa sababu baada ya kushauriana, wakuu wa muungano+ wa Wafilisti walimfukuza, wakisema: “Atatoroka amwendee Sauli bwana wake na kuhatarisha vichwa vyetu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki