Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na mapigano yakawa magumu mno siku hiyo, na mwishowe Abneri+ pamoja na watu wa Israeli wakashindwa mbele ya watumishi wa Daudi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wana wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Yuda, ndipo Mungu akawatia mkononi mwao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Peka+ mwana wa Remalia+ akaua katika Yuda watu 120,000 katika siku moja, wote wakiwa ni wanaume mashujaa, kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao.

  • Zaburi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+

      Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+

      Utayavunja meno ya waovu.+

  • Methali 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana msiba wao utakuja ghafula,+ hivi kwamba ni nani anayejua juu ya kuangamizwa kwa watu wanaotaka badiliko?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki