2 Samweli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na mapigano yakawa magumu mno siku hiyo, na mwishowe Abneri+ pamoja na watu wa Israeli wakashindwa mbele ya watumishi wa Daudi. 2 Mambo ya Nyakati 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wana wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Yuda, ndipo Mungu akawatia mkononi mwao.+ 2 Mambo ya Nyakati 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi Peka+ mwana wa Remalia+ akaua katika Yuda watu 120,000 katika siku moja, wote wakiwa ni wanaume mashujaa, kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao. Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+ Methali 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana msiba wao utakuja ghafula,+ hivi kwamba ni nani anayejua juu ya kuangamizwa kwa watu wanaotaka badiliko?+
17 Na mapigano yakawa magumu mno siku hiyo, na mwishowe Abneri+ pamoja na watu wa Israeli wakashindwa mbele ya watumishi wa Daudi.
6 Basi Peka+ mwana wa Remalia+ akaua katika Yuda watu 120,000 katika siku moja, wote wakiwa ni wanaume mashujaa, kwa sababu walimwacha Yehova+ Mungu wa mababu zao.
7 Usimame,+ Ee Yehova! Uniokoe,+ Ee Mungu wangu!+Kwa maana utawapiga adui zangu wote kwenye taya.+Utayavunja meno ya waovu.+
22 Kwa maana msiba wao utakuja ghafula,+ hivi kwamba ni nani anayejua juu ya kuangamizwa kwa watu wanaotaka badiliko?+