Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana nitawaleta katika nchi ambayo nimewaapia mababu zao,+ inayotiririka maziwa na asali,+ nao hakika watakula+ na kushiba na kunenepa+ na kuigeukia miungu mingine,+ nao kwa kweli wataitumikia na kunitendea bila heshima na kulivunja agano langu.+

  • Zaburi 78:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na moyo wao haukuwa imara kwake;+

      Nao hawakuwa waaminifu katika agano lake.+

  • Isaya 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ole wake taifa lenye dhambi,+ watu walio na kosa zito, uzao unaotenda maovu,+ wana wenye kuharibu!+ Wamemwacha Yehova,+ wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli,+ wamegeuka kuelekea nyuma.+

  • Yeremia 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao watasema: “Kwa sababu wameliacha agano la Yehova Mungu+ wao na kuinamia miungu mingine na kuitumikia.”’+

  • Waroma 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yehova, wamewaua manabii wako, wamezibomoa madhabahu zako, nami peke yangu nimebaki, nao wanaitafuta nafsi yangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki