Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa upande mwingine, ninyi ni watu wa kupaka uwongo;+

      Ninyi nyote ni matabibu wasio na faida.+

  • Zaburi 36:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Maneno ya kinywa chake ni kuumiza na udanganyifu;+

      Ameacha kuwa na ufahamu wa kufanya mema.+

  • Zaburi 38:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+

      Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+

      Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+

  • Zaburi 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+

      Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+

  • Mathayo 12:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+

  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki