Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe.+ Mwogope Yehova na ujiepushe na ubaya.+

  • Mathayo 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakati huo Yesu akajibu, akasema: “Ninakusifu wewe hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye akili na umeyafunua kwa watoto.+

  • Waroma 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Vema! Kwa sababu ya ukosefu wao wa imani+ yalikatwa, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Uache kuwa na mawazo ya kujivuna,+ bali uogope.+

  • Waroma 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwafikirie wengine kama vile mnavyojifikiria wenyewe;+ msiwe mkikaza akili juu ya mambo makuu,+ bali mwongozwe na mambo ya hali ya chini.+ Msiwe wenye busara machoni penu wenyewe.+

  • 1 Wakorintho 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana mnaona mwito wake kwenu, akina ndugu, kwamba si wengi wenye hekima+ katika njia ya kimwili walioitwa,+ si wengi wenye nguvu,+ si wengi wa uzawa wa cheo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki