Ayubu 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+ Ayubu 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+ Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela. Zaburi 103:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+
6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.
15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+Yeye huchanuka kama ua la shambani.+