Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Siku zangu zimepita upesi+ kuliko chombo cha mfumaji,

      Nazo hufikia mwisho katika hali ya ukosefu wa tumaini.+

  • Ayubu 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+

      Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+

  • Zaburi 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+

      Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+

      Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.

  • Zaburi 103:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye mwanadamu anayeweza kufa, siku zake ni kama zile za majani mabichi;+

      Yeye huchanuka kama ua la shambani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki