8 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Jifanyie nyoka mkali na kumweka juu ya nguzo ya ishara. Na itatukia kwamba wakati mtu yeyote ameumwa, basi atamtazama na hivyo ataendelea kuwa hai.”+
5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+