Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yonathani akasema vema+ kumhusu Daudi kwa Sauli baba yake na kumwambia: “Mfalme asitende dhambi+ juu ya Daudi mtumishi wake, kwa maana yeye hakutenda dhambi kwako wewe na kazi zake zimekuwa nzuri sana kwako wewe.+

  • 1 Samweli 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Ahimeleki akamjibu mfalme na kusema: “Na ni nani aliye kama Daudi kati ya watumishi wako wote,+ mwaminifu,+ pia mwana-mkwe+ wa mfalme na mkuu juu ya walinzi wako, na mwenye kuheshimiwa nyumbani mwako?+

  • Esta 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana ukinyamaza kabisa wakati huu, msaada na ukombozi wa Wayahudi utasimama kutoka mahali pengine;+ bali wewe pamoja na nyumba ya baba yako, mtaangamizwa. Na ni nani anayejua ikiwa si kwa ajili ya wakati kama huu kwamba umefikia heshima ya kifalme?”+

  • Esta 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Esta, malkia, akajibu, akasema: “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, Ee mfalme, na mfalme akiona vema, na nipewe nafsi+ yangu mwenyewe kuwa ombi langu na watu wangu+ kuwa haja yangu.

  • Zaburi 82:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Okoeni mtu wa hali ya chini na maskini;+

      Wakomboeni kutoka katika mkono wa waovu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki