Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wao ambao hawakujua wanapaswa kusikiliza,+ nao lazima wajifunze kumwogopa Yehova Mungu wenu siku zote ambazo ninyi mnakaa juu ya nchi ambayo mnavuka Yordani ili kuimiliki.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mafundisho yangu yatatiririka kama mvua,+

      Maneno yangu yatadondoka kama umande,+

      Kama mvua ya rasharasha juu ya majani+

      Na kama manyunyu mengi juu ya mimea+

  • 1 Timotheo 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa kuwapa akina ndugu mashauri haya utakuwa mhudumu mzuri wa Kristo Yesu, mwenye kulishwa maneno ya imani na ya fundisho zuri+ ambalo umefuata kwa ukaribu.+

  • Tito 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki