13 Na wana wao ambao hawakujua wanapaswa kusikiliza,+ nao lazima wajifunze kumwogopa Yehova Mungu wenu siku zote ambazo ninyi mnakaa juu ya nchi ambayo mnavuka Yordani ili kuimiliki.”+
6 Kwa kuwapa akina ndugu mashauri haya utakuwa mhudumu mzuri wa Kristo Yesu, mwenye kulishwa maneno ya imani na ya fundisho zuri+ ambalo umefuata kwa ukaribu.+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.