Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+ Zaburi 96:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+ Isaya 44:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’” Yeremia 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Je, mtu wa udongo anaweza kujifanyia miungu wakati hiyo si miungu?+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+ 1 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+
21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+
5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+
8 Msiwe na hofu, wala msishangazwe.+ Je, tangu wakati huo mimi sikuwafanya ninyi mmoja mmoja myasikie na kuyatangaza?+ Nanyi ni mashahidi wangu.+ Je, kuna Mungu zaidi ya mimi?+ Hapana, hakuna Mwamba.+ Sikumtambua yeyote.’”
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+