Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 22:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+

  • Isaya 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ole wako wewe unayepora, bila wewe mwenyewe kuporwa, na wako wewe unayetenda kwa hila, bila wengine  kukutendea kwa hila!+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kupora, wewe nawe utaporwa.+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kutenda kwa hila, wao watakutendea kwa hila.+

  • Ezekieli 39:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawatachukua vijiti shambani, wala hawatakusanya kuni misituni, kwa maana watatumia silaha kuwasha mioto.’

      “ ‘Nao hakika watawateka nyara wale waliokuwa wakiwateka nyara,+ na kuwapora wale waliokuwa wakiwapora,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo, kama ninavyoishi,”+ asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, “Moabu atakuwa tu kama Sodoma,+ na wana wa Amoni+ kama Gomora, mahali penye upupu, na shimo la chumvi, na mahame yenye ukiwa, mpaka wakati usio na kipimo.+ Mabaki ya watu wangu watawapora, na mabaki ya taifa langu mwenyewe watawamiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki