Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia+ aliyokuwa amemwaga, hivi kwamba akalijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia, na Yehova hakukubali kutoa msamaha.+

  • Zaburi 106:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+

      Damu ya wana wao na binti zao,

      Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+

      Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+

  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Hosea 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna mambo ambayo yameenea, kutangaza laana+ na kuzoea kufanya udanganyifu+ na uuaji+ na wizi+ na uzinzi,+ na vitendo vya kumwaga damu vimegusana na vitendo vingine vya kumwaga damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki