Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na nguvu zake zitakuwa nyingi sana, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe.+ Naye atasababisha uharibifu kwa njia ya ajabu,+ naye atafanikiwa na kutenda kwa njia yenye matokeo. Naye atawaharibu wenye nguvu, pamoja na watu watakatifu.+

  • Danieli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nikaanza kumsikia yule mtu aliyevaa kitani, ambaye alikuwa juu ya maji ya ule mto, alipoinua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbingu na kuapa+ kwa Yule aliye hai kwa wakati usio na kipimo:+ “Itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati zilizowekwa na nusu ya wakati.+ Na mara tu baada ya kuvunjwa vipande-vipande kwa nguvu za watu watakatifu kutakapokwisha,+ mambo hayo yote yatakwisha.”

  • Ufunuo 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+

  • Ufunuo 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki