Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa hiyo, nilisema: “Tazama nimekuja,+

      Katika kitabu cha kukunjwa imeandikwa juu yangu.+

  • Zaburi 118:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na abarikiwe Yeye anayekuja katika jina la Yehova;+

      Tumewabariki ninyi watu kutoka katika nyumba ya Yehova.+

  • Ezekieli 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu.+ Nalo hili pia, hakika hili halitakuwa la mtu yeyote mpaka atakapokuja yule aliye na haki ya kisheria,+ nami nitampa yeye.’+

  • Zekaria 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+

  • Malaki 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tazama! ninamtuma mjumbe wangu,+ naye atafungua njia mbele zangu.+ Na kwa ghafula Bwana wa kweli+ atakuja kwenye hekalu Lake,+ ambaye ninyi mnamtafuta, na mjumbe+ wa agano+ mnayependezwa naye.+ Tazama! Atakuja hakika,” asema Yehova wa majeshi.+

  • Mathayo 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza ninyi kwa maji+ kwa sababu ya toba+ yenu; lakini yule anayekuja+ nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, ambaye viatu vyake mimi sistahili kuvivua.+ Huyo atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki