-
Yeremia 5:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+
Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”
-
-
Yeremia 27:8-10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “‘“‘Ikiwa taifa lolote au ufalme utakataa kumtumikia Mfalme Nebukadneza wa Babiloni na kukataa kuweka shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga,+ kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari,’ asema Yehova, ‘mpaka nitakapowaangamiza kwa mkono wake.’
9 “‘“‘Kwa hiyo, msiwasikilize manabii wenu, waaguzi* wenu, waota-ndoto wenu, wachawi wenu, na walozi wenu, wanaowaambia: “Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.” 10 Kwa maana wanawatabiria uwongo, ili mpelekwe mbali na nchi yenu, nami nitawatawanya ninyi, nanyi mtaangamia.
-