Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Agano la Yehova kule Horebu (1-5)

      • Amri Kumi zarudiwa (6-22)

      • Watu waogopa kwenye Mlima Sinai (23-33)

Kumbukumbu la Torati 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi ya hukumu ambayo.”

Kumbukumbu la Torati 5:2

Marejeo

  • +Kut 19:5; Ebr 9:19, 20

Kumbukumbu la Torati 5:4

Marejeo

  • +Kut 19:9, 18; Mdo 7:38

Kumbukumbu la Torati 5:5

Marejeo

  • +Kut 20:19; Gal 3:19
  • +Kut 19:16

Kumbukumbu la Torati 5:6

Marejeo

  • +Kut 13:3; 20:2

Kumbukumbu la Torati 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhidi yangu.” Tnn., “dhidi ya uso wangu.”

Marejeo

  • +Kut 20:3-6; 2Fa 17:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2012, uku. 23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/1 23

Kumbukumbu la Torati 5:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umbo la.”

Marejeo

  • +Law 26:1; Kum 4:15, 16, 23; 27:15; Mdo 17:29

Kumbukumbu la Torati 5:9

Marejeo

  • +Kut 23:24; 1Ko 10:14
  • +Kut 34:14; Kum 4:24; Isa 42:8; Mt 4:10
  • +Kut 34:6, 7

Kumbukumbu la Torati 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “fadhili zenye upendo.”

Kumbukumbu la Torati 5:11

Marejeo

  • +Kut 22:28; Law 19:12
  • +Kut 20:7; Law 24:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ulimwengu Usio na Vita, uku. 20

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, uku. 228

Kumbukumbu la Torati 5:12

Marejeo

  • +Kut 16:23; 20:8-10; 31:13

Kumbukumbu la Torati 5:13

Marejeo

  • +Kut 34:21

Kumbukumbu la Torati 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “malango.”

Marejeo

  • +Kut 16:29
  • +Ne 13:15
  • +Kut 23:12
  • +Kum 10:17; Efe 6:9

Kumbukumbu la Torati 5:15

Marejeo

  • +Kut 6:6; Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 5:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na ili mambo yakuendee vyema.”

Marejeo

  • +Kut 21:15; Law 19:3; Kum 27:16; Met 1:8; Mk 7:10
  • +Kut 20:12; Efe 6:2, 3

Kumbukumbu la Torati 5:17

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:20, 21; Mt 5:21; Ro 13:9

Kumbukumbu la Torati 5:18

Marejeo

  • +Kut 20:14; 1Ko 6:18; Ebr 13:4

Kumbukumbu la Torati 5:19

Marejeo

  • +Kut 20:15; Law 19:11; Met 30:8, 9; 1Ko 6:10; Efe 4:28

Kumbukumbu la Torati 5:20

Marejeo

  • +Kut 20:16; 23:1; Law 19:16; Kum 19:16-19; Met 6:16, 19; 19:5

Kumbukumbu la Torati 5:21

Marejeo

  • +Mt 5:28
  • +Kut 20:17; Lu 12:15; Ro 7:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2019, uku. 22

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2012, uku. 7

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/15 7

Kumbukumbu la Torati 5:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maneno hayo.”

Marejeo

  • +Kut 19:9, 18
  • +Kut 24:12; 31:18; Kum 4:12, 13

Kumbukumbu la Torati 5:23

Marejeo

  • +Kut 20:18; Ebr 12:18, 19

Kumbukumbu la Torati 5:24

Marejeo

  • +Kut 24:17
  • +Kum 4:33, 36

Kumbukumbu la Torati 5:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni nani mwenye mwili wa nyama.”

Kumbukumbu la Torati 5:27

Marejeo

  • +Kut 20:19; Ebr 12:18, 19

Kumbukumbu la Torati 5:28

Marejeo

  • +Kum 18:16, 17

Kumbukumbu la Torati 5:29

Marejeo

  • +Kum 10:12; Ayu 28:28; Met 1:7; Mt 10:28; 1Pe 2:17
  • +Met 4:4; 7:2; Mhu 12:13; Isa 48:18; 1Yo 5:3
  • +Zb 19:8, 11; Yak 1:25

Kumbukumbu la Torati 5:32

Marejeo

  • +Kum 6:3, 25; 8:1
  • +Kum 12:32; Yos 1:7, 8

Kumbukumbu la Torati 5:33

Marejeo

  • +Kum 10:12
  • +Kum 4:40; 12:28; Ro 10:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 5:2Kut 19:5; Ebr 9:19, 20
Kum. 5:4Kut 19:9, 18; Mdo 7:38
Kum. 5:5Kut 20:19; Gal 3:19
Kum. 5:5Kut 19:16
Kum. 5:6Kut 13:3; 20:2
Kum. 5:7Kut 20:3-6; 2Fa 17:35
Kum. 5:8Law 26:1; Kum 4:15, 16, 23; 27:15; Mdo 17:29
Kum. 5:9Kut 23:24; 1Ko 10:14
Kum. 5:9Kut 34:14; Kum 4:24; Isa 42:8; Mt 4:10
Kum. 5:9Kut 34:6, 7
Kum. 5:11Kut 22:28; Law 19:12
Kum. 5:11Kut 20:7; Law 24:16
Kum. 5:12Kut 16:23; 20:8-10; 31:13
Kum. 5:13Kut 34:21
Kum. 5:14Kut 16:29
Kum. 5:14Ne 13:15
Kum. 5:14Kut 23:12
Kum. 5:14Kum 10:17; Efe 6:9
Kum. 5:15Kut 6:6; Kum 4:34
Kum. 5:16Kut 21:15; Law 19:3; Kum 27:16; Met 1:8; Mk 7:10
Kum. 5:16Kut 20:12; Efe 6:2, 3
Kum. 5:17Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:20, 21; Mt 5:21; Ro 13:9
Kum. 5:18Kut 20:14; 1Ko 6:18; Ebr 13:4
Kum. 5:19Kut 20:15; Law 19:11; Met 30:8, 9; 1Ko 6:10; Efe 4:28
Kum. 5:20Kut 20:16; 23:1; Law 19:16; Kum 19:16-19; Met 6:16, 19; 19:5
Kum. 5:21Mt 5:28
Kum. 5:21Kut 20:17; Lu 12:15; Ro 7:7
Kum. 5:22Kut 19:9, 18
Kum. 5:22Kut 24:12; 31:18; Kum 4:12, 13
Kum. 5:23Kut 20:18; Ebr 12:18, 19
Kum. 5:24Kut 24:17
Kum. 5:24Kum 4:33, 36
Kum. 5:27Kut 20:19; Ebr 12:18, 19
Kum. 5:28Kum 18:16, 17
Kum. 5:29Kum 10:12; Ayu 28:28; Met 1:7; Mt 10:28; 1Pe 2:17
Kum. 5:29Met 4:4; 7:2; Mhu 12:13; Isa 48:18; 1Yo 5:3
Kum. 5:29Zb 19:8, 11; Yak 1:25
Kum. 5:32Kum 6:3, 25; 8:1
Kum. 5:32Kum 12:32; Yos 1:7, 8
Kum. 5:33Kum 10:12
Kum. 5:33Kum 4:40; 12:28; Ro 10:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 5:1-33

Kumbukumbu la Torati

5 Kisha Musa akawaita Waisraeli wote na kuwaambia hivi: “Enyi Waisraeli, sikilizeni masharti na sheria ambazo* ninawatangazia ninyi leo, nanyi mnapaswa kujifunza na kushika kwa uangalifu masharti na sheria hizo. 2 Yehova Mungu wetu alifanya agano pamoja nasi kule Horebu.+ 3 Yehova hakufanya agano hilo pamoja na mababu zetu, bali pamoja nasi, sisi sote tulio hai hapa leo. 4 Yehova alizungumza nanyi uso kwa uso mlimani, kutoka katika moto.+ 5 Wakati huo nilisimama kati yenu na Yehova+ ili niwaambie neno la Yehova, kwa maana mliogopa kwa sababu ya moto nanyi hamkupanda mlimani.+ Alisema hivi:

6 “‘Mimi ni Yehova Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+ 7 Hupaswi kamwe kuwa na miungu mingine ila mimi.*+

8 “‘Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa+ au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia. 9 Usiviinamie wala kushawishiwa kuviabudu,+ kwa sababu mimi, Yehova Mungu wako, ni Mungu ninayetaka watu waniabudu mimi peke yangu,+ nami huwaadhibu watoto kwa sababu ya makosa ya baba zao, kufikia kizazi cha tatu na kizazi cha nne cha wale wanaonichukia,+ 10 lakini ninawatendea kwa upendo mshikamanifu* watu wanaonipenda na kushika amri zangu, kufikia kizazi chao cha elfu.

11 “‘Usilitumie jina langu mimi, Yehova Mungu wako, kwa njia isiyofaa,+ kwa maana mimi Yehova sitakosa kumwadhibu yule anayelitumia jina langu kwa njia isiyofaa.+

12 “‘Ishike siku ya Sabato na uione kuwa takatifu, kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru.+ 13 Fanya shughuli na kazi zako zote kwa siku sita,+ 14 lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote,+ wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala kijakazi wako, wala ng’ombe dume wako, wala punda wako, wala mnyama yeyote unayemfuga, wala mgeni anayekaa katika majiji*+ yenu, ili mtumwa wako na kijakazi wako wapumzike kama wewe.+ 15 Kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa nchini Misri, na mimi Yehova Mungu wako nikakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu mimi Yehova Mungu wako nilikuamuru uishike siku ya Sabato.

16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+

17 “‘Usiue.+

18 “‘Wala usifanye uzinzi.+

19 “‘Wala usiibe.+

20 “‘Wala usitoe ushahidi wa uwongo dhidi ya jirani yako.+

21 “‘Wala usimtamani mke wa jirani yako.+ Wala usitamani kwa ubinafsi nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala kijakazi wake, wala ng’ombe dume wake, wala punda wake, wala kitu chochote cha jirani yako.’+

22 “Yehova aliwapa amri hizo* ninyi nyote mlimani, kutoka katika moto, wingu, na utusitusi mzito,+ kwa sauti kubwa, naye hakuongeza lolote; kisha akaziandika kwenye mabamba mawili ya mawe na kunipa.+

23 “Lakini mara tu mliposikia sauti kutoka katika lile giza, mlima ulipokuwa ukiwaka moto,+ viongozi wote wa makabila yenu na wazee wakanijia. 24 Kisha mkasema, ‘Tazama, Yehova Mungu wetu ametuonyesha utukufu wake na ukuu wake, nasi tumesikia sauti yake kutoka katika moto.+ Leo tumeona kwamba Mungu anaweza kuongea na mwanadamu na mwanadamu huyo aendelee kuishi.+ 25 Sasa, kwa nini tufe? Kwa maana moto huu mkubwa unaweza kututeketeza. Tukiendelea kuisikia sauti ya Yehova Mungu wetu, hakika tutakufa. 26 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu wote* aliyesikia sauti ya Mungu aliye hai ikiongea kutoka katika moto kama tulivyosikia na bado anaishi? 27 Wewe mwenyewe nenda karibu, usikie yote ambayo Yehova Mungu wetu atasema, nawe ndiwe utakayetuambia mambo yote ambayo Yehova Mungu wetu anakuambia, nasi tutasikiliza na kutenda mambo hayo.’+

28 “Basi Yehova alisikia maneno mliyoniambia, naye Yehova akaniambia, ‘Nimesikia maneno ambayo watu hawa wamekuambia. Mambo yote waliyosema ni sawa.+ 29 Laiti sikuzote wangekuwa na moyo wenye mwelekeo wa kuniogopa+ na kushika amri zangu zote;+ basi mambo yangewaendea vyema wao na wana wao milele!+ 30 Nenda uwaambie hivi: “Rudini kwenye mahema yenu.” 31 Lakini unapaswa kubaki hapa pamoja nami, nami nitakuambia amri zote, masharti, na sheria unazopaswa kuwafundisha na ambazo wanapaswa kushika katika nchi ninayowapa wamiliki.’ 32 Sasa ninyi watu mnapaswa kuwa waangalifu kufanya kama Yehova Mungu wenu alivyowaamuru.+ Msigeuke kwenda kulia wala kushoto.+ 33 Mnapaswa kutembea katika njia yote ambayo Yehova Mungu wenu amewaamuru mfuate,+ ili mwishi na kufanikiwa na kurefusha siku zenu katika nchi mtakayomiliki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki